Chris_Mambo JF-Expert Member Joined Aug 11, 2010 Posts 595 Reaction score 122 May 25, 2011 #41 Urembo si kitu kama mtu hawezi kujistahi!
B BILLIONAIRE Member Joined May 23, 2011 Posts 10 Reaction score 4 May 26, 2011 #42 kuna jamaa anaonekana anainyemelea
Bigirita Platinum Member Joined Feb 12, 2007 Posts 16,042 Reaction score 7,474 May 26, 2011 #43 hamna lolote hapa.... one of them photoz za shigongo zinazomuweka mjini!! unazima ukiwa umetabasamu na umekamatia simu, at the same time umelala kwa ustaarabu hujaacha kitumbua nje???!!
hamna lolote hapa.... one of them photoz za shigongo zinazomuweka mjini!! unazima ukiwa umetabasamu na umekamatia simu, at the same time umelala kwa ustaarabu hujaacha kitumbua nje???!!
S SACoNa Member Joined May 25, 2011 Posts 61 Reaction score 8 May 26, 2011 #44 Kaleweshwa banana, afu wakamtosa
yatima JF-Expert Member Joined Mar 2, 2011 Posts 354 Reaction score 132 May 26, 2011 #45 mrembo - angekuwa mama wa nyumbani - ametulia na mumewe.................mh! atachoka tu siku moja na kutulia ila akiiona hii picha nadhani ataacha pombe lazima!
mrembo - angekuwa mama wa nyumbani - ametulia na mumewe.................mh! atachoka tu siku moja na kutulia ila akiiona hii picha nadhani ataacha pombe lazima!
M makubazi JF-Expert Member Joined Feb 15, 2013 Posts 2,047 Reaction score 365 Oct 8, 2014 #46 Ama kweli kizuri hakikosi doa