Mdogo wangu ananitaka kimapenzi

Mdogo wangu ananitaka kimapenzi

Nyrum

Senior Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
124
Reaction score
41
Habarini wapendwa. Nimekuja mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu! Help plz.
 
Habarini wapendwa. Nimekuja mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu! Help plz.


kweli hilo balaa,shirikishaneni kama ndugu mlimalize,lazima mkae chini kifamilia zaidi ili mumueleweshe.pengine amekolea kiasi kwamba haoni kama wewe ni ndugu yake.inaonekana uko bomba manake hata bro kazimika.nway,kaeni kifamilia muongee.
 
Mtoto wa mama mkubwa du,ni ndugu wa damu hasa, kakako nathani ana tatizo anahitaji msaada,washilikishe wazazi haraka.
 
Habarini wapendwa. Nimekuja mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu! Help plz.

Raha kula na nduguyo
 
Mueleze kwa upole kuwa wewe ni dada yake na yeye ni kaka yako, mueleze jamii hata familia yenu watawachukuliaje endapo utakubaliana naye, wewe akikushinda ni PM nikupe mbinu kali ya kumfanya huyo bro wako asikusumbue, pole sana.
 
Ingelikuwa ni ndoa, basi dini ya Kiislam inaruhusu.

Lakini zinaa, hapana ruksa.
 
Huyo sio kaka yako wala wewe sio Dada yake,
Ila ni ndugu yako tu
 
Habarini wapendwa. Nimekuja mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu! Help plz.
he makubwa haya...naweza kuuliza dini yako?
 
Kwanini mambo kama hayo yanatokea and still mpo karibu...huna ndugu wengine ukaondoka hapo?

Yani anatishia na sumu...hahaha,sorry...huo ni ujinga tu nae akikua ataacha
 
Mtambulishe Shemeji yake yote yataisha hayo. Au km vp nipeleke mm mwambie huyu ndio shemej yako.
 
Habarini wapendwa. Nimekuja mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu! Help plz.

kama ni mzima kiakili basi anajitia kichaa, na nyinyi alitaka kujiua mkajitia kumpenda sana mkampa maziwa sasa mkunjulie tu japo siku moja.
 
Habarini wapendwa. Nimekuja mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu! Help plz.

Kheee, Dunila imekwisha, yaan huyo mdogo ako ana pepo huyo,,, ina maana huko nje kakosa demu? Lakn hata wewe inaonyesha kuna dizain unafanya mpaka anahis utakubali,,, sababu ungemuonyesha msmamo wa dhati kuwa anachokitaka sio sawa kwake, hangeendelea kung'ang'ania,,, cha kufanya, sababu amefikia hatua ya kujaribu kijiua sababu yako, inabidi swala hili uliweke wazi kwa wazazi wakae wakijua,,,! Ili mwsho wa cku asije jiua....
 
"Binamu nyama ya hamu". Wahenga walisema! Nasema hivyo kwa kuwa, kama waliruhusu hilo lifanyike baina ya watoto wa mjomba na, ama wa shangazi (ambao ki msingi ndiyo mabinamu), basi wa baba mdogo/mkubwa na, ama wa mama mdogo/mkubwa nao ni walewale!-
 
Hiyo kali.... jamaa mshipa wa aibu umekatika nin..??
hilo swala limalizeni kimya kimya maana mkishirikisha watu weng mwisho wa siku lita tatulika lakini pia fedhea ita baki kwenu wote kwamba mshatakana.. mtakuwa mnatolewa mifano hovyo hata na hao hao ndugu pindi watakapo kuwa. Mbali.
Muelimishe huyo kk ako domo zege atafute papuchi kwa dem mwingine, wanawake mpo weng bwn au ikishindikana mtumie condom ila iwe mara moja tu na asikae sana.
 
Back
Top Bottom