Bambanza jr.
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 355
- 36
Heshima kwenu! Sijui nimfanyeje mdogo wangu wa tumbo moja, kwan nilimwamini sana hata nikimkuta na shemeji yake sikuwa na shaka kwamba kinaweza tokea chochote kibaya lakini nashangaa dogo anafunua uozo wangu wote, mara amueleze mchumba angu madem nliodat nao long time! Nifanyeje jamani?