Mdogo mdogo tunawauzia Wakenya Ugomvi

Mdogo mdogo tunawauzia Wakenya Ugomvi

Benson Mramba

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
766
Reaction score
1,884
Kesi za Lissu zimeanza kuchukua sura ya Mama anayempiga mwanae kwa kumuonea hadi majirani waneamua kuja kumtetea mtoto ambaye sio wao.

Inakubalika kama mzazi ni muonevu. Na uonevu ukizidi majirani huwa wanaamua kununua ugomvi kama mbwai inakuwa mbwai tu kwani nini!?
 
Kesi za Lissu zimeanza kuchukua sura ya Mama anayempiga mwanae kwa kumuonea hadi majirani waneamua kuja kumtetea mtoto ambaye sio wao.

Inakubalika kama mzazi ni muonevu. Na uonevu ukizidi majirani huwa wanaamua kununua ugomvi kama mbwai inakuwa mbwai tu kwani nini!?
Inasikitisha sana
 
Kesi za Lissu zimeanza kuchukua sura ya Mama anayempiga mwanae kwa kumuonea hadi majirani waneamua kuja kumtetea mtoto ambaye sio wao.

Inakubalika kama mzazi ni muonevu. Na uonevu ukizidi majirani huwa wanaamua kununua ugomvi kama mbwai inakuwa mbwai tu kwani nini!?
MBONA HI MBWAI INAONEKANA KWA TZ TU? VP KULE UG, RWANDA JE? HUKO PAKO SALAMA?
KISA BESGYE YUPO KWAKE ANAKULA PIZA EE NA WAKENYA WAPO. VIPI MTOTO WA M7 NA MATAMKO YAKE WAKENYA WAPO EE?
KWA HAPA WAKENYA WAMEYATIMBA
 
Screenshot_20250507-223301_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom