Mdogo kuliko wote katika jamii forums

Mbona mie nnavyojuwa mdogo kuliko wote humu ni Atiwm52.
 
Shikamooni wadau
Napenda kujitambulisha kuwa mimi ndo memba mdogo kuliko wote wa Jamii forums lakini nabamba kwenye chati za siasa,teknolojia na jukwaa la lugha.Na juzi tu nimepata promotion kuwa senior member

Maharaba, leo huendi shule wewe??
 
Marahaba,leo hujakojoa kitandan kwel?
 
Hongera mbili kwako:
1 kwa kuwa mdogo
2 kwa kubamba kwenye siasa,teknolojia na lugha
Way forward
-jitahidi ubambe na mmu

kashasema ni mdogo kwa nini umpeleke MMU ni hatari sana..
 
Shikamooni wadau
Napenda kujitambulisha kuwa mimi ndo memba mdogo kuliko wote wa Jamii forums lakini nabamba kwenye chati za siasa,teknolojia na jukwaa la lugha.Na juzi tu nimepata promotion kuwa senior member

marhabaa..aya ebu njoo nikutume ukaninunulie vocha hapo kwa mangi..
 
Leo huonekani sababu Mama yupo home anatumia laptop yake subiri waende kazini J3
 
sema umri wako ili tuamini kweli wewe mdogo.
 
Shikamooni wadau
Napenda kujitambulisha kuwa mimi ndo memba mdogo kuliko wote wa Jamii forums lakini nabamba kwenye chati za siasa,teknolojia na jukwaa la lugha.Na juzi tu nimepata promotion kuwa senior member

JF ishu sio umri, ni u-great thinker wako

huo udogo, usije ukawa mkiani
 
shikamooni wadau
napenda kujitambulisha kuwa mimi ndo memba mdogo kuliko wote wa jamii forums lakini nabamba kwenye chati za siasa,teknolojia na jukwaa la lugha.na juzi tu nimepata promotion kuwa senior member

pravo bambino
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…