Mdhamini: Tundu Lissu ameshapona, anashindwa kurejea nchini akihofia usalama wake

Mkuu
Kwan mahakama kutengua hukum ya mahakama c n kazi pia ya mahakama au??
Mahakama zipi mkuu? Baba levo alihukumiwa kifungo cha mwaka mmoja kule kigoma leo mahakama hiyo hiyo imetengua hukumu na kusema haikuwa ya haki, unadhani Lisu jinsi alivyotaka kuuwawa hizi mahakama zikimuhukumu kwa hila kuna hakimu atatengua hukumu hiyo?
N kesi ngap mahakama hii inaamua hv na mahakama ile inaamua vile???

Tusitukane upepo ukivuma dhidi ya tanga letu

Haki hutupoka matakwa yetu sometymz, tujifunze hlo pia!
 
Najisikia kukujibu ila naona utaharibu siku yangu
Mna kazi kubwa ya kupotosha kwa sababu mafanikio ya Serikali ya awamu ya 5 hayajifichi. Endeleeni na umangi meza wenu lakini Watanzania sio wajinga. Hapa Kazi Tu!
 
Watanzania tuwe na mioyo ya huruma na kujali maisha ya Watanzania wenzetu.

Tundu Lissu ni Mtanzania anayo haki ua kujilinda kwa maslahi ya uhai wake.

Pia wakuu wa nchi acheni kutisha watu, mahindi yamepanda bei, halafu wewe unasema kalime yako ya bei ya chini.
 
Umedanganywa ma nani kwamba Tanzania ni yako?? Sisi ni wapangaji wenye nayo ni kina Makonda wanaopanga nani auwawe, nani apigwe risasi, nani atekwe nani afilisiwe, nani apewe Mimba nani aitoe

Sisi ni wapangaji tu
 
Haya majitu kuanzia sasa yanayogombea nafasi mbalimbali tusiseme yamepita bila kupingwa tuyaite;-
- MGOMBEA PEKE YENU nafasi ya ......
-hata likija kuwa limenyekiti la mtaa mkaliita Mwenyekiti peke yenu Ali bushiri Wa mtaa Wa feri jina hili ni zuri kuliko kuyaita mabwanyenye nadhani yakistaafu ndiyo tuyaite kwa mfano kardinali mstaafu bwanyenye pp
 
Kama alikua anaamini anachokiongea anaogopea nini kurudi? arudi tu apambane Mahakama si zipo

ifike wakati hawa wana siasa wakumbukege kuna "kesho"
Punguza MAHABA ya kinafiki Mkuu, hoja kuu hapo ni usalama wake. Anaitaka serikali hii ya KI-IMLA imuhakikishie usalama wake pindi atakaporejea nchini. Basi.
 
1574381775570.png
 
kumtawnga mtu risasi hadharani na kisha mkazuia poilisi wasifanye lolote ,ni zaidi ya wanyama,kumbukeni na nyinyi ipo kesho yenu
Tangu Lissu atwangwe risasi nchi hii imetulia na matusi na kejeli vimeisha. Adabu imetawala. Wote waliokuwa wanaiga matusi na kejeli za Lissu (mfano Halima Mdee, Lema, Msigwa na Sugu) wameufyata. Nakile kijamaa cha Songwe pia. Hivyo bila kuungua mkia paka hatoki jikoni.
Hii tabia ya matusi ilikuwa inaelekea kuwa kitu cha kawaida hata mitaani. Sasa nidhamu ya Mtanzania imetamalaki. Lissu uliponzwa na utovu wa nidhamu sasa wewe ni kilema mpaka kufa. Haya maneno ya kukushabikia mitandaoni haikusaidii tena - you haven't accomplished any of your dreams! In short Lissu umekwisha. Na hutarudi Tanzania utakuwa unaisikia kwenye mitandao. Pole sana.
 
Kama alikua anaamini anachokiongea anaogopea nini kurudi? arudi tu apambane Mahakama si zipo

ifike wakati hawa wana siasa wakumbukege kuna "kesho"
Arudi apambane na Mahakama au arudi apambane na risasi...?..

Lissu hajawahi kushindwa Mahakamani, walipoona hamuwezi Mahakamani wa kaamua wammiminie risasi kwa silaha ya kivita sio kwa silaha ya kawaida..
 
Tangu Lissu atwangwe risasi nchi hii imetulia na matusi na kejeli vimeisha. Adabu imetawala. Wote waliokuwa wanaiga matusi na kejeli za Lissu (mfano Halima Mdee, Lema, Msigwa na Sugu) wameufyata. Nakile kijamaa cha Songwe pia. Hivyo bila kuungua mkia paka hatoki jikoni.
Hii tabia ya matusi ilikuwa inaelekea kuwa kitu cha kawaida hata mitaani. Sasa nidhamu ya Mtanzania imetamalaki. Lissu uliponzwa na utovu wa nidhamu sasa wewe ni kilema mpaka kufa. Haya maneno ya kukushabikia mitandaoni haikusaidii tena - you haven't accomplished any of your dreams! In short Lissu umekwisha. Na hutarudi Tanzania utakuwa unaisikia kwenye mitandao. Pole sana.
Mkuu uhuru wa kujieleza ndio chachu ya maendeleo katika nchi yoyote ile.

Lisu alikuwa anazunguza mawazo yake na nyinyi mngelizungumza mawazo yenu, mngelishindana kihoja.

Ukiona mtu a anaanza kujibu hoja kwa vitisho au kwa kummiminia mtoa hoja risasi uje kashindwa hoja huyo..

Hoja hujibiwa kwa hoja, uhuru wa kujieleza ndio demokrasia
 
Kama alikua anaamini anachokiongea anaogopea nini kurudi? arudi tu apambane Mahakama si zipo

ifike wakati hawa wana siasa wakumbukege kuna "kesho"
Wakumbuke kuwa wanaweka hakiba ya maneno sio wanaropoka alafu hayo maneno yanaanza kuwakosesha amani na kuisingizia serikali!
 
Kama alikua anaamini anachokiongea anaogopea nini kurudi? arudi tu apambane Mahakama si zipo

ifike wakati hawa wana siasa wakumbukege kuna "kesho"
Je, ingekuwa amefariki katika tukio lile, hiyo kesho angeikumbukaje? Be llogical!
 
Tangu Lissu atwangwe risasi nchi hii imetulia na matusi na kejeli vimeisha. Adabu imetawala. Wote waliokuwa wanaiga matusi na kejeli za Lissu (mfano Halima Mdee, Lema, Msigwa na Sugu) wameufyata. Nakile kijamaa cha Songwe pia. Hivyo bila kuungua mkia paka hatoki jikoni.
Hii tabia ya matusi ilikuwa inaelekea kuwa kitu cha kawaida hata mitaani. Sasa nidhamu ya Mtanzania imetamalaki. Lissu uliponzwa na utovu wa nidhamu sasa wewe ni kilema mpaka kufa. Haya maneno ya kukushabikia mitandaoni haikusaidii tena - you haven't accomplished any of your dreams! In short Lissu umekwisha. Na hutarudi Tanzania utakuwa unaisikia kwenye mitandao. Pole sana.

Uthibitisho mwingine huu hapa.Kweli muda mwalimu mzuri.
Wanajitangaza hadharani wenyewe.
 
Wanaotaka kumuua ni Chadema wenyewe baada ya kulifahamu hilo sasa yale matusi yake kwa Serikali na wananchi wa Tanzania yamemponza anaona aibu. Watanzania ni wema sana hawana kinyongo arudi tu aendelee na Maisha yake. Ujanja ujanja wa kupayuka hovyo umemponza.
Hamjatosheka tu na damu za watu nyie mapimbi?
 
Back
Top Bottom