Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wana JF sasa hivi kuna mdahalo unaendelea Bukoba katika hotel maarufu ya Kolping. Sijajua ni nani ame organise mdahalo huu lakini wagombea wengine wa CCM na CUF hawajahudhulia kwenye mdahalo huo. Lakini ni mbunge wa Chadema ndiye aliyehudhulia tu.
Ninasikia kupitia redio ya Kasibante inayomilikiwa na Hamis Kagasheki mgombea wa CCM
Ninasikia kupitia redio ya Kasibante inayomilikiwa na Hamis Kagasheki mgombea wa CCM