Mdahalo wa katiba ITV

Mdahalo wa katiba ITV

utabaki na mawazo hayo hayo..sisi tunasonga tu


Huoni wanachadema wanaojilipa per diem za 600,000 kwenye kila maandamano? Huoni mtu mmoja kwenye chama kinachohitaji kujijenga anajilipa mshahara wa milioni saba bila kodi?
Kuna wizi zaidi ya huu?

Afadhali hao wanachukua (kama ni kweli) kwa one event kuliko nyie mnaokula kila siku!! au hapo inahitaji shule? Mwizi anaeiba mara moja na anakuibia hadi kutaka kukuua huku unaona yupi mwenye afadhali? Rejao bhana
 
watu wengine taabu tupu' ukiwa na hela ya kula basi unakuwa unawaza uharo tu!

kwa hiyo hiyo midaharo inagawa heal!! Wavivu tu nyinyi mnakaa tu kwa kuandika upupu kwa kuwa mnaishi mijini mna uhakika wa chaaakula... Tembeleeni vijijini muone watua wanavoishi kwa mlo mmoja...if u realy care why cant u show up na hlp ur felow tanzania.
 
Vipi mkono upo au wanatishiana tu? Wajiandae vizuri kesho ndio kesho, mbona mmepunguza spidi ya kuweka updates?

Sijui kwanini wamepunguza na ukizingatia huku wengine ITV tunaisikiaga tu! Updates Pls!
 
Mdahalo wa katiba unaendelea hivi sasa live ITV na Radio One.

Arusha ITV haipatikani zaidi ya mwezi sijui shida ni nini yaani siku hizi habari hatupati maana TBCCM haina kitu kabisa ni habari za ccm tu.
 
Sijui kwanini wamepunguza na ukizingatia huku wengine ITV tunaisikiaga tu! Updates Pls!
mjadala umefungwa mkuu! waandaaji wameahidi kama mswada utasomwa mara ya pili kesho watatangaza maandamano nchi nzima.over
 
wakipitisha huo muswada hiyo kesho tuna kwa kuanza tutaanzia ARUSHA na MWANZA,hakyanani uLIBYA unanukia na leo nimeota nina SMG

Kumbuka vizuri ulipoiweka hiyo SMG, lazima itakuwepo hapo hapo.
 
mjadala umefungwa mkuu! waandaaji wameahidi kama mswada utasomwa mara ya pili kesho watatangaza maandamano nchi nzima.over

Duhh! Nashukuru sana Mkuu! Na bila shaka hiyo ya kesho ndiyo funga kazi na tumwombe MUNGU pakuche kwani majibu yenye tija kwa Nchi itaonekana la sivyo hakuna cha chichiem wa sisiem ni maandamano ya kufa mtu na km ni nyama na acha iwe nyama! TUMECHOKA NA SERIKALI LeGeGe wa mzee wa kaya na magamba wake.
 
Ntaanza biashara ya kuuza manati nadhani itanilipa vizuri ukinunua moja nakuongeza mbili au tatu za bure
 
wamekosa kazi za kufanya.... Hii nchi ya wavivu tuu mpaka kiama. Mvua zimeanza kunyesha kwa nini msiende kulima tukaondokana na njaa. hivi kila mtu mwenye akili timamu angelima hekari moja ya mahindi au mpunga au zao lolote tungekuwa na njaaa... Kila siku mijadala mijadala...tumewachoka.. Kwanza mnatumia resources zetu bure..nyie vipi hamsomi alma za nyakti??

We ndo bure kabisa...Eti profesa!!Huna hata aibu kuandika huu uharo...Ukilima Ekari1 then what!!utaendesha maisha kwa Ekari1!!We kweli ushawahi lima na unajua Ekari1 inatoa mahindi kiasi gani?Je hicho kilimo nichakutegemea mvua au cha umwagiliaji,iv ardhi yote inafaa kwa kilimo,iv kila Mtanzania anao uwezo wakupata hiyo ekari1,ukumbwa wa ardhi ya Tz unaufahamu,iv profesa unaele issue ya mabadiliko ya khali ya hewa duniani?iv unajua wakulima wa Shinyanga msimu uliopita wamelima sana ila mwaka huu wananjaa na wanaomba chakula cha msaada?
 
Safi Deus Kibamba wakisoma kwa mara ya pili unatangaza maandamo nchi nzima safi sana tutaingia barabarani vita ni vita muraaaaaaaaaaaaaa!
 
Utengeneze na Risasi zake kabisa za chuma itakuwa bomba zaidi.

Unazifahamu goroli za baiskeli? Duh nakukumbuka kijijini kwetu enzi hizo, haziyumbishwi na upepo na zinapiga pale pale lazima itoboe
 
mjadala umefungwa mkuu! waandaaji wameahidi kama mswada utasomwa mara ya pili kesho watatangaza maandamano nchi nzima.over

Maandamano yatafanyika yasiyokua na mwisho mkuu ni mwanzo mwisho bora iwe hvyo
 
Nina ka shamba kangu hapa Sungwi-Kisarawe ndio nilikua nimekuja! Vp upo mjini hapo nikubebee nazi na mananasi? Nimeshindia mananasi leo, safi sana naona mdahalo umetulia! Nafuatilia Mzee mwenzangu japo niko mbali na network niya manati

Daaa hongera sana ndugu yangu, kwa kweli na wish ningekuwa hapo mjini kwa kweli ningefurahi sana tena sana, hamna shaka lakini next time nikiwa hapo basi itabidi tuwasiliane ndugu yangu,then vipi huko kumetulia sana??Sana naona mdahalo umeenda vipi ila tu kuna mzee alikuwa anataka kuuharibu huo mdahallo kwa kuongea pumba
 
Ntaanza biashara ya kuuza manati nadhani itanilipa vizuri ukinunua moja nakuongeza mbili au tatu za bure

Mimi nitahitaji pia nadhani nitakuwa moja wapo.......maana itakuwa biashara nzuri sana
 
Unazifahamu goroli za baiskeli? Duh nakukumbuka kijijini kwetu enzi hizo, haziyumbishwi na upepo na zinapiga pale pale lazima itoboe

Hahahahahah...... zile safi kweli au goroli za bearing ya gari, ukipiga inatoboa mpaka helmet!!
 
wamekosa kazi za kufanya.... Hii nchi ya wavivu tuu mpaka kiama. Mvua zimeanza kunyesha kwa nini msiende kulima tukaondokana na njaa. hivi kila mtu mwenye akili timamu angelima hekari moja ya mahindi au mpunga au zao lolote tungekuwa na njaaa... Kila siku mijadala mijadala...tumewachoka.. Kwanza mnatumia resources zetu bure..nyie vipi hamsomi alma za nyakti??

Uprofesa mwingine bwana inabidi uchunguzwe kwani inaelekea ulitolewa kwa mapendekezo ya nguvu ya Usalama wa Mafisadi.Aibu mbona aibu!
 
Back
Top Bottom