Mdahalo wa katiba ITV

asante kwa taarifa mkuu ..nipo namwangalia hyu dada kristina kamili...
 
Mkuu thanx kwa info ila ungeweka title ya kudistungish

Mdahalo wa katiba live ITV::

Namsikiliza dada mwanasheria hapa black is beuty
 
asante kwa taarifa mkuu ..nipo namwangalia hyu dada kristina kamili...

huyu kamili hajajiandaaa anaongea as if yuko kwenye debate za for one..hamna kitu hapa..hebu ampishe shivji alete vitu vya maana...wanasheria wa tumain hawa
 
huyu kamili hajajiandaaa anaongea as if yuko kwenye debate za for one..hamna kitu hapa..hebu ampishe shivji alete vitu vya maana...wanasheria wa tumain hawa


hakuwa na mtiririko mzuri kabisa.....
 
prof anasema huu mswaada usomwe kwa mara ya kwanza na nsio ya pili kama anavyotaka selina kombani
 
prof anatatiririka zaidi kuwa katika kuwa huu mswaada mpya bado raisi kapewa mamlaka makubwa sna....
 
anatoboa ukweli.

Katrace source.kwamba katiba mpya ni ndoto.
Selina kombani na werema vikwazo katika katiba mpya.
 
huyu jamaa ni noma,anasema wafanyakaz hawajasahau kaul za kipind cha uchaguzi,bado wako imara
 
Back
Top Bottom