simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Mdahalo wa katiba unaendelea hivi sasa live ITV na Radio One.
asante kwa taarifa mkuu ..nipo namwangalia hyu dada kristina kamili...
huyu kamili hajajiandaaa anaongea as if yuko kwenye debate za for one..hamna kitu hapa..hebu ampishe shivji alete vitu vya maana...wanasheria wa tumain hawa
mkuu hapo kwenye kala unamaana .......................huyu kamili hajajiandaaa anaongea as if yuko kwenye debate za for one..hamna kitu hapa..hebu ampishe shivji alete vitu vya maana...wanasheria wa tumain hawa
mkuu hapo kwenye kala unamaana .......................