hata sijui jina lake mkuu,lakini yupo strong sana kamwaga sumu saanaaa...Hivi anaitwa nani huyo mama?
hata sijui jina lake mkuu,lakini yupo strong sana kamwaga sumu saanaaa...
Mdahalo wa katiba unaendelea hivi sasa live ITV na Radio One.
Asante mkuu TBC wanaonyesha MO FOUNDATION. Radio One ndio wako hewani.
duh. hii nimeipenda kaka,yaani hapatatosha mkuuwakipitisha huo muswada hiyo kesho tuna kwa kuanza tutaanzia ARUSHA na MWANZA,hakyanani uLIBYA unanukia na leo nimeota nina SMG
wakipitisha huo muswada hiyo kesho tuna kwa kuanza tutaanzia ARUSHA na MWANZA,hakyanani uLIBYA unanukia na leo nimeota nina SMG
amekurupuka huyo japokuwa amewachoka magamba pia!!!Hivi huyu dada aliyesimama na sunglass zake ameongea nini sasa??? Kama alikua hajui cha kuongea si angekaa chini tu....pumbaaa!
Mama mchungajiHivi anaitwa nani huyo mama?