kishoreda
Senior Member
- Nov 2, 2010
- 174
- 29
Hivi huyu dada aliyesimama na sunglass zake ameongea nini sasa??? Kama alikua hajui cha kuongea si angekaa chini tu....pumbaaa!
yaani ukimuuliza aliongea nn atakuwa kashasahau
Hivi huyu dada aliyesimama na sunglass zake ameongea nini sasa??? Kama alikua hajui cha kuongea si angekaa chini tu....pumbaaa!
Hivi huyu dada aliyesimama na sunglass zake ameongea nini sasa??? Kama alikua hajui cha kuongea si angekaa chini tu....pumbaaa!
anatamani hata miaka iliyobakia iishe kesho.kijaaaaasho kitamtoka.khaaaaa napata picha hii nchi inakokwenda sio haki ya mungu jk mwanakwetu kazi unayo
Magamba at work... jiandae mkuu ukombozi unakujawamekosa kazi za kufanya.... Hii nchi ya wavivu tuu mpaka kiama. Mvua zimeanza kunyesha kwa nini msiende kulima tukaondokana na njaa. hivi kila mtu mwenye akili timamu angelima hekari moja ya mahindi au mpunga au zao lolote tungekuwa na njaaa... Kila siku mijadala mijadala...tumewachoka.. Kwanza mnatumia resources zetu bure..nyie vipi hamsomi alma za nyakti??
wamekosa kazi za kufanya.... Hii nchi ya wavivu tuu mpaka kiama. Mvua zimeanza kunyesha kwa nini msiende kulima tukaondokana na njaa. hivi kila mtu mwenye akili timamu angelima hekari moja ya mahindi au mpunga au zao lolote tungekuwa na njaaa... Kila siku mijadala mijadala...tumewachoka.. Kwanza mnatumia resources zetu bure..nyie vipi hamsomi alma za nyakti??
hiyo ni matokeo ya mfumo mbaya wa elimu wa magamba mkuu,tunataka mabadiliko ili kubolesha hayo madahaifu..Pamoja na mambo mazuri yanayosemwa kwenye mdahalo lakini nimeamini vijana wengi wa kitanzania wanakosa "Exposure" hawajui kupangilia mada, wanatoa mifano ya kijinga isiyokuwa na mantiki kabisa, kwa mfano jamaa amesimama anadiriki kusema eti alivyofundishwa yeye hata baba yake akikomba mboga amefundishwa amwambie palepale! hizo ni mira za wapi kwa watoto wa kiafrika? mwingine naye anasema bora vita ya risasi, hivi risasi anazijua au anazisikia? hivi ni nchi hii hii ambayo gurudumu la gari likipasuka watu wanakimbia wakidhani risasi! mambo ya ajbu kabisa.