Hahahahhahaha nimecheka sana mkuu sio mchezo aisee....hahaha au sio upo chini ya mwembe......
Au sio???sio sasa hivi imekuwa too late,
afu kanajiita kanataaluma hopeless saanaakn kakijana kanaongea upumbavu eti hawapendi wau wa bara
Bila amani hatuendi mahali.. Hatujachelewa bado, still tunaimaintaini. With CCM kila kitu kinawezekana!
Rais wa Tadei kazomewa sana kwa kuimbwa ccm ccm ccm alikua anauliza je yanayozungumzwa na Jukwaa la Katiba linaifikia gvt?
hiyo ni matokeo ya mfumo mbaya wa elimu wa magamba mkuu,tunataka mabadiliko ili kubolesha hayo madahaifu..
Bila amani hatuendi mahali.. Hatujachelewa bado, still tunaimaintaini. With CCM kila kitu kinawezekana!
wamekosa kazi za kufanya.... Hii nchi ya wavivu tuu mpaka kiama. Mvua zimeanza kunyesha kwa nini msiende kulima tukaondokana na njaa. hivi kila mtu mwenye akili timamu angelima hekari moja ya mahindi au mpunga au zao lolote tungekuwa na njaaa... Kila siku mijadala mijadala...tumewachoka.. Kwanza mnatumia resources zetu bure..nyie vipi hamsomi alma za nyakti??
Hata wizi wa ikulu inawezekana!
Huoni wanachadema wanaojilipa per diem za 600,000 kwenye kila maandamano? Huoni mtu mmoja kwenye chama kinachohitaji kujijenga anajilipa mshahara wa milioni saba bila kodi?CCM? labda kutuibia na kutudanganya kuwa kuna AMANI