Mbona yule mwingine anaogopa midahalo,hana uwezo wa kukabiliana na maswali ya papo kwa papo
......ama kweli.......ninamsikiliza...................THIS PERSON IS PRESIDENTIAL MATERIAL
Hapa kwa kweli ndio pa muhimu maana inapokuja suala la ardhi watu wanachinjana sana hasa wakulima na wafugajiAmeulizwa swali
Atasaidiaje kutokana na migogoro ya Aridhi mingi iliyopo,
Anasema, matatizo mengi ni kutokana na watendaji ambao wanaendekeza Rushwa, kwa mfano ufisadi ni mwingi sana na unasababisha migogoro,
Mfano , mgogoro kati ya wakulima na wafugaji ni migogoro inayotokana na uzembe wa serkali, mfano wafugaji wa barbari waliondolewa na serikali kwenye maeneo yao. Wakaachia, lakini serikali haikuwapatia mahali pa kwenda, serikali makini ni ile ambayo inamuondoa mfugaji alipo na kumepeleka mahala pengine pazuri.
Tatizo ni serikali kukosa umakini, wamelalamika sana hakuna anayewasilikiza, amesema pia wafugaji Wasukuma wanamatatizo yahoo hayo, na serikali haiwasaidii
Umeona eeeh!!!!!he is tallented for sure
hana mpya huyu labda tusubiri atazusha uzushi gani saa hii maana jamaaa kwa kuropokwa huyu
Kamjibu yule aliyetumwa na JK kuwa eti suala la kodi lipo ndani ya mkataba wa Afrika Mashariki. Sijui huko Kamala alipo anajisikiaje.