Juaangavu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2009
- 935
- 132
Dr anaendelea kutoa ufafanuzi wa suala la rasilimali ambalo pia kitakuwa sehemu ya mabadiliko. Hapa kuna rasilimali:
watu
ardhi
maji na vilivyomo kama samaki,
madini
mifugo
mabonde yafaayo kwa kilimo ili hali taifa lina agiza chakula.
Rasilimali za tz lazima zimnufaishe mtz kwanza. Win win situation mtz anufaike na mwekezaji anufaike, lakini mtz zaidi
watu
ardhi
maji na vilivyomo kama samaki,
madini
mifugo
mabonde yafaayo kwa kilimo ili hali taifa lina agiza chakula.
Rasilimali za tz lazima zimnufaishe mtz kwanza. Win win situation mtz anufaike na mwekezaji anufaike, lakini mtz zaidi