Za kuambiwa changanya na zako, ulishuhudia idd Amin au Hitler akiua zaidi ya propaganda za wasioutaka utawala waoIdd Amini na Hitler ni viongozi wauwaji na madikteta, sifa ambazo ni kinyume kabisa na Lisu, labda unazungumzia utawala wa 2015-2020!
Siyo Lisu wala mimi ambao tumekataa kwamba hizo barabara na ndege, treni, siyo maendeleo! Tatizo ni vipaumbele, unawezaje kuacha kulipa watu stahiki zao ili kujenga miradi mikubwa? Kama angepandisha watu madaraja, kuongeza mishahara, kuajiri, basi hiyo miradi ingekua sawa. Lakini pia, nimevitaja hivyo vitu kukujibu kwamba, ukisema Lisu ni empty kichwani na hana sera, mbona ccm wanaimba ‘furayiova, barabara kiromita... ndege nk, kwa miaka yote mitano??! Ukianza kuona watu hawana akili, nao wataona ujinga wako pia! Na swala la kufungwa ufahamu, Wewe umefungiwa huko ccm pia!
Msichana mrembo kama wewe nikubishie?! Naukubali, za Hitler na Idd Amini, nachanganya na za kwako! 👏Za kuambiwa changanya na zako, ulishuhudia idd Amin au Hitler akiua zaidi ya propaganda za wasioutaka utawala wao
Mara moja moja muwe mnaingia jamii interejensi muone mataifa makubwa yanavyokutafutia hila ili yakutoe kwenye uongozi kwa manufaa yao
Ndio hivyo bro kwa tuliyoyaona kwa Saddam Hussein nchini Iraq na kwa muamar Gaddafi nchini LibyaMsichana mrembo kama wewe nikubishie?! Naukubali, za Hitler na Idd Amini, nachanganya na za kwako! 👏
Hebu edit neno kilomita. Siyo kiromita kama ulivyoandika kwenye msg #324. Ufahamuni kujikosoa mwenyewe.That is enough! I understand what kind of mindset, I have been dealing with!
😂 Nashukuru sana mkuu! Ila, ile ni sarcasm! Kama ume-note, nimeandika ‘furayiova’ pia! Nilikua naigiza sauti ya Baba!Hebu edit neno kilomita. Siyo kiromita kama ulivyoandika kwenye msg #324. Ufahamuni kujikosoa mwenyewe.
MOja ya mambo ya kipuuzi munayotunga ili tu kuandika jina la Lissu. Akili hiyo itoke wapi kwa Lissu?TUNDU LISSU anafanya “mdahalo” na Rais wa Ghana kwa kidhugu
DUA bringing over 28 influential political parties across the continent to engage on the future of Democracy and Socio Economic Growth. Ideological clarity and Policy is key in delivering a future for Africans
The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.Tulieni dawa iwaingie. Hizo 15% ni za magufuli
Saa 12 jioni
Hii si ya kukosa✌✌
Ni leo hii, big up Tundu Lissu.
Marais wawili wataongea✌✌✌
Nadhani jamaa wa chato atashinda chumbani leo hatoki😂😂😂
Swali moja tu! Mahaba haya yalitimia?Tundu Lissu ni level nyingine kabisa
Na unaamini ktk kufuatilia watamfanya Lissu ashinde?SOMA HII KWANZA ILI AKILI ZIKURUDIE
View attachment 1587797
Tulia weweNdio maana bado naendelea kuwaita WAPUMBAVU., hao wa mitandaoni wanaoongea na kusikiliza kiingereza hawapigi kura, badala ku deal na vitu vya maana mnawekeza kwenye ishu za kipuuzi Lissu akipata zaidi ya 15% October 28 akatambike.
Mwambie TL aache matamshi ya uchochezi kwasababu serikali hii ya URT ita mnyoosha kabla na baada ya uchaguzi.SOMA HII KWANZA ILI AKILI ZIKURUDIE
View attachment 1587797
Bwege naziNdio maana bado naendelea kuwaita WAPUMBAVU., hao wa mitandaoni wanaoongea na kusikiliza kiingereza hawapigi kura, badala ku deal na vitu vya maana mnawekeza kwenye ishu za kipuuzi Lissu akipata zaidi ya 15% October 28 akatambike.
Japendi show offHata hoja nazo ni tatizo. Mbona lissu alimuomba wafanye mdahalo kwa lugha ya kiswahili lakini hakujibu kitu
Ndio maana bado naendelea kuwaita WAPUMBAVU., hao wa mitandaoni wanaoongea na kusikiliza kiingereza hawapigi kura, badala ku deal na vitu vya maana mnawekeza kwenye ishu za kipuuzi Lissu akipata zaidi ya 15% October 28 akatambike.
Chuki mbaya sanaKule Uganda muandishi wa The Reuters aliuliza swali ilibidi Museveni alitafune kwanza ndiyo tuliweza kulimeza.
Leo mzee yuko pande zipi au anaendelea na lockdown.