habari wana JF?
Kutakuwa na mdahalo Wa wanafunzi wa vyuo vikuu utakaofanyika katika Chuo Cha Uhasibu(T I A).
Mdahalo huo utakuwa na mada isemayo;Kwa hali halisi ya TANZANIA Je kuna haja ya wanafunzi wa Vyuo vikuu kutumia Uniform?
SIKU:JUMAPILI;TAREHE 22/04/2012.
MUDA:SAA 8:00 MCHANA
MAHALI UTAKAPOFANYIKA:MAIN HALL
NJOONI TUCHANGIE HOJA.
KARIBUNI WOTE!
Kutakuwa na mdahalo Wa wanafunzi wa vyuo vikuu utakaofanyika katika Chuo Cha Uhasibu(T I A).
Mdahalo huo utakuwa na mada isemayo;Kwa hali halisi ya TANZANIA Je kuna haja ya wanafunzi wa Vyuo vikuu kutumia Uniform?
SIKU:JUMAPILI;TAREHE 22/04/2012.
MUDA:SAA 8:00 MCHANA
MAHALI UTAKAPOFANYIKA:MAIN HALL
NJOONI TUCHANGIE HOJA.
KARIBUNI WOTE!