Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Babu tusamehe kidogo tu,Hajambo kbs na anaelekea kwenye normal!OFF TOPIC: Cantalisia yule rafiki yako anaendeleaje, msalimie sana lol
1. The best thing a dad can do for his children is to love his mother biblically
2. The best thing a mother can do for her children is submit to her husband biblically
3. The best thing parents can do for their children......the best way to love their children.....is to make a solid biblical home and to have them faithfully
devoted to god.
Hahaha!!! Lizzy
Unajua Chauro wakati naendelea kusoma comment za wengine nilipoangalia hii signature yako "Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4)." nikagundua inaleta maana nyingi na mojawapo ni hiyo niliyoiandika hapo juuKama kungekuwa na kitufe cha thanks ningekugongea hapa Asante kwa hili na ndio ukweli wenyewe................lakini ukija kuangalia nadharia ya maisha halisi wengi hawawezi tekeleza hayo labda uwe mcha/hofu ya Mungu hasaa.
Mimi leo mshiki sina ujanja, nimeloa kwa kijasho! At least hiyo bold hapo nimepumua LOL
Hahahaha....nyumba ndogo zinatafutiwa justifications wallah khaa!
1. The best thing a dad can do for his children is to love his mother biblically
2. The best thing a mother can do for her children is submit to her husband biblically
3. The best thing parents can do for their children......the best way to love their children.....is to make a solid biblical home and to have them faithfully
devoted to GOD.
1. The best thing a dad can do for his children is to love his mother biblically
2. The best thing a mother can do for her children is submit to her husband biblically
3. The best thing parents can do for their children......the best way to love their children.....is to make a solid biblical home and to have them faithfully
devoted to GOD.
Afu kama umeshachunguza story za wamama wengi; utasikia wanakwambia "mume wangu umwambii kitu kuhusu watoto wake"
Kila mwanamke anajisikia furaha saaana akiwa na mwanaume anayewapenda watoto; and will never complain eti mume wangu anawapenda watoto kuliko mimi; tunafurahi sana tukiona waume zetu wana muda na watoto; kwa maana kuwa tuna share kitu tunachokipenda; watoto. Na ndoa za baba anayependa watoto huwa nyingi zina furaha kwani lazima utabasamu ukiona mumeo anacheza na watoto muda mwingi.
Agemate........ I Rest My Case! Am planning for revenge........ As from Today My Kids are going to be Number One! (Kidding)........Let me write in bold.... like kware
Asprin
In life we all ahve loved at least five times, and every love was preced by some special moment until we grew this old!!! na katika kila kupenda kuna kuzidiana.... i love my wife, and i have said this in JF more than sevral times, but nothing can beat my love for my kids, Mbu did put it perfect... coz he ended with the word period!!!
Love has no "what if"... and by you just adding kwamba kama nisingekua na watoto, then umeweka what if" and i respect that one coz hayo yote ni majaaliwa ya mungu, na hata leo mungu akiwachukua sintamlaani mungu kwa namna yoyote ile
secondly, before getting married, we have had moments where we felt so special and never expected to part witht he previous love.... but guess what, we ended up getting married na watu tuliokutana nao at a right time... wewe Asprin ulikua unashinda pale kwa akina Naki bize unawinda, kwani umemuoa Naki??? ahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
haya tuyaache hayo.... love is crazy, love stinks, love is special and love sometimes sucks
But my specail love for my kids, doesnt hvae all that, at least at the moment, nangoja wakikua wakianza kunitesa, labda mama yao atawaovateki tena kwena love, BUT AT THE MOMENT, SHE CANT BEAT MY LOVE FOR DEM KIDS, COZ THEY HAVE SHOWED ME SOMETHING DIFFERENT
............KUNA MTU KANILETEA CHA aRUSHA NGOJA NIKAMALIZIE KIPISI
good quote.... but once again iko biased kwenye dini mojaUnajua Chauro wakati naendelea kusoma comment za wengine nilipoangalia hii signature yako "Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4)." nikagundua inaleta maana nyingi na mojawapo ni hiyo niliyoiandika hapo juu
Labda weye utaweza nipa matumaini........... hawa kina Nyumba Kubwa, Lizzy, Blaki Woman and co wamenimaliza kabisa aisee! Kumbe ningekuwa sijaoa ningeoa mgumba! lol (Mungu pitisha mbali, just kidding)
..ooopps, did i say that??Agemate........ I Rest My Case! Am planning for revenge........ As from Today My Kids are going to be Number One! (Kidding)........
The Truth is: No one, I repeat No one will overtake my darling wife and take Number One as far as Love is Concerned!
Halafu Ishu za Naki zimekujaje hapa wakati unajua ulichonitenda? Tusikumbushane ubabe hapa bana!
halafu wewe..........nyumba kubwa embu nieleweshe labda mie ni mwanamke wa tofauti hawezi kuniweka aside halafu nikawa proud tu anawapenda na kujali watoto wake ndio anaonyesha upendo kwangu pia .............what if ukawa kwenye abusive relationship lakini baba huyo huyo anahakikisha mahitaji muhimu ya watoto wake yapo nyumbani still utakuwa proud mwenzi wako anakupenda sababu anajali wanao............labda ukiuliza maswali yeyote jibu utaloambulia kuna ambacho hupati ..............................
Watoto si kuwa tunawependa tu ni wafariji wa hajabu kwa kila mama. Huwa napenda kufanya mazoezi asubuhi na wakati nafanya hivyo huwa nawawazia wanangu najisemea NK fanya mazoezi ili usije ukafa na ma BP na kuwaacha hawa lovely kids bila mama. They are the reason for my living.
Baada ya kusoma haya, ngoja niende kule kwenye sredi ya Nyumba ndogo! Hapa sina changu! Watoto wanatunyang'anya mapenzi yetu kwa mama zao.......Soooo veeeeery unfair!!!Kwanza nikupe pole kwa sababu mimi ndo nataka nikumaliza mazima...
Mapenzi ya Mama kwa mtoto ni bond inayoanzia mbali sana...
Kuanzia mama anakamata ujauzito... mimba inakua, wanashea blood, heartbeat, hata emotions... kumbuka all this time mama anakuwa ana-communicate na mtoto kwa njia mbali mbali... (hapo worry ya mama inakuwa "Eeh Mungu, sijui nimebeba kiumbe gani tumboni"
Mtoto anazaliwa, very innocent and vulnerable... anahitaji protection na love (ambayo inaongezeka yenyewe with every moment unapomuona)
Akilia kidogo, unasikia uchungu mwingine wa kuzaa japo huna mimba, mtoto akiwa mchanga akalia mama anatamani kufa maana hajui ni nini kinamliza...
Then mama anapata worry nyingine, sijui ataona... sijui atasikia.... sijui atatembea.... Eeh Mungu msaidie mwanangu...
anapozidi kukua, hata mama akimchapa, anarudi tena kwa mama ambembeleze... kwa sababu kwa mtoto ni 2nd God, ndo tegemeo lake pekee
mama siku zote anaona kwamba bado huyo mtoto anahitaji protection, mama anaona kwamba ingawa amekuwa lakini anaweza kudhurika...
Sasa babu, bond ya mama na mtoto ni kubwa sana anaijua Mungu pekee... May be we are over protective... lakini wewe kama mume, kwanza ni jibaba lakini kwa mama yako bado atakuuliza "umekula mwanangu" tena mbele ya Mama Matesha... Mbona unakonda, inaonekana huli vizuri...
Mapenzi ya mume (ambaye sina..lol) ni tofauti... mtoto ni faraja sana..., they are angels...
Huo ni mtazamo wangu tu
Pole babu komaaa tu nakuaminia,kinachofurahisha ni kwamba huu uzi unawaforce watu kuyatoa yaliyo moyon ambayo hayaongeleki kwengine kokote isipokuwa humu jamvin!Thanks honey, lakini dah! Nimekuwa kama shem wangu AshaDii kwenye thread ya Nyumba ndogo........... kwishney!
Hahaha!!! Mbu well i am not saying we are perfect and it's not that easy to find someone perfect but (hapa kwa wasio wakristu mtaniwia radhi) It is not a matter of "priority" as much as it is a matter of living biblically. When we live biblically, I don't see where these responsibilities really conflict. As I have said, the best thing a father can do for the children is love the mother biblically, as Christ loved the church. The best thing a husband can do for his wife his love her biblically and love the children biblically. I simply do not see the conflict that everyone else sees. And the best thing a father can do for his family is have them actively involved in the body of Christ, which will be around long after all these little piddly things like earthly families and teen conflicts are gone....wewe the finest kasome proverb 21:9, halafu 21:19, kisha malizia na proverb 25:23...
..."the woman of a noble character, who can find..."
Listen, am not perfect nor was my wife but nakushauri
Uoe kwanza ndipo uje na maandiko..
nyumba kubwa embu nieleweshe labda mie ni mwanamke wa tofauti hawezi kuniweka aside halafu nikawa proud tu anawapenda na kujali watoto wake ndio anaonyesha upendo kwangu pia .............what if ukawa kwenye abusive relationship lakini baba huyo huyo anahakikisha mahitaji muhimu ya watoto wake yapo nyumbani still utakuwa proud mwenzi wako anakupenda sababu anajali wanao............labda ukiuliza maswali yeyote jibu utaloambulia kuna ambacho hupati ..............................