Mdahalo: CCM, Serikali Mbili, Azimio La Arusha

Mdahalo: CCM, Serikali Mbili, Azimio La Arusha

Hii kitu imetulia saana.Watu hawafanyi kazi kabisa siku hizi hususani secta ya umma.
Nimefanya kazi secta binafsi,lazima kutimiza masaa 40 kwa wiki.
Baada ya kuhamia secta ya umma,watu ni kustorisha,watu wanafanya kazi masaa 0--8 hivi! Hakuna mtu anajali,viongozi wakuu hawafanyi chochote!
Tumetoka kwenye msingi wa kufanya kazi mpaka kugawiana fedha,mf.mabilioni ya Kikwete.
Tunalihitaji Azimio la Arusha pamoja na Tanganyika yetu.
Serikali ya muungano haifanyi kazi sawasawa kuliko Zanzibar.
Wadau,

Katika nukuu hapo chini:
*Yepi bado yanatufaa katika nyakati hizi bila ya kuyabadilisha.
*Yepi yanatufaa lakini baada ya maboresho au marekebisho.
*Yepi hayatufai, hivyo tuachana nayo?

Tujadiliane kwa hoja.

On the Policy of Self-Reliance in Tanzania, February 5, 1967.

Source:
From Africa Report, March 1967 issue of pp. 11-13



Haya yote CCM iliamua kuachana nayo mwaka 1992 na kuleta azimio la zanzibar. Kuanzia hapo, CCM ikaachana na wanyonge na kuanza kuwa karibu zaidi na wenye nguvu - kwa nchini mafisadi, kwa walio nje - wawekezaji. Mwananchi akabaki kuwa ni mtu wa kuokoteza okoteza tu maisha ndani ya mfumo wa uliberali HOLELA.

Kwa wale wanaohitaji tafsiri ya kiswahili, nitajitahidi kuileta.

Tusemezane.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mkuu,

Kama uliona bandiko namba moja hapo juu, key words ni Azimio La Arusha "LILILOBORESHWA" dhidi ya Serikali Mbili "ZILIZOBORESHWA"; Swali ni, maboresho yepi yana
Faida kwa mwananchi?


Cc Nguruvi3


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Usisahau maneno ya Mwalimu kuwa kulitaja lenyewe azimio la arusha lazima uwe na moyo kama jabali sembuse kuliboresha?
 
Mbali ya kufuta "leadership code" iliyozuia viongozi kufisadi, pia tusisahau kwamba azimio la arusha ambalo lilikuwa ni framework to implement development policies and planning (1967-1985), azimio hili baada ya kufutwa rasmi, likawa replaced na VISION 2025, effectively kuanzia mwaka 1995.
Kwa maana hii, this new framework has been around for 19 years, almost the same kama lilivyokaa azimio la arusha. Malengo ya VISION 2025 ni haya:

*--- Have a population with a high quality of life,

*--- Be a stable, peaceful and united country,

*--- Have an intact well working good governance machinery,

*--- Have a well-educated population and one that craves for learning, and

*--- Have a competitive economy capable of producing sustainable growth and shared benefits.

Kwahiyo wale wote wanaosema azimio la arusha halikuwa na faida zozote za maana kwa wananchi walio wengi, watueleze Vision 2025 imekuwa na faida gani kwa wananchi walio wengi, hasa kwa kuangalia malengo yaliyowekwa na hii Vision, kisha kufananisha na masuala ambayo azimio la arusha ililenga kuyafanyia kazi.

Cc Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, FJM, Mag3, Mtanganyika, EMT, Kobello, Gamba la Nyoka, MwanaDiwani, Nape Nnauye, ZeMarcopolo, Ritz, zomba, Candid Scope, Zakumi, zinedine, Mwigulu Nchemba


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu hoja yako iko crystal clear! Azimio la Arusha lililoboreshwa ndiyo suluhisho la matatizo yetu kama nchi! Hili wananitambua sana lakini Sera za Uwekezwaji according to Prof Chachage zinatuandaa kuwekezwa kama nchi! IMF, WB na Nchi wahisani hawezi kukubali Azimio la Arusha lirejee hata likiwa na maboresho yatakayowanufaisha! Mpaka sasa hivi wanadai eti mazingira ya uwekezaji Tanzania siyo rafiki sana !!! Back kwenye mada, CCM wangetutendea haki wananchi kwa kurejesha Azimio la arusha kwani hofu ya kutengwa na western imekwisha baada ya Wachina kuja juu! Sera za wachina ziko wazi sana wao ni 50/50 hawana unafiki wa kuangalia masuala ya ndani ya nchi nyingine! Sasa hivi nchi za magharibi zinatuhitaji kuliko tunavyowahitaji! Wakenya wamejitambua wakakataa misaada katakata na sasa wanapaa kiuchumu...Once again Azimio la Arusha ndo suluhu la matatizo yetu kwa chama chochote kitakacho shika dola coming 2015...

Laiti ccm wangepitia humu jf na kusoma ushauri huu. Hii ndiyo njia pekee ya kukirudisha chama hiki kwenye njia yake. Kikubali tu kuwa sasa hivi ccm sio chama cha wakulima na wafanya kazi. Ni chama cha Mabwana juu ya walala hoi tu.
Azimio la Arusha lililo boreshwa ndo dawa wala si vinginevyo.
 
Motion:

Mwananchi atafaidika zaidi kiuchumi na kijamii iwapo Katika KATIBA MPYA CCM itapigania kurudishwa kwa Azimio la Arusha LILILOBORESHWA kuliko kupigania kurudishwa kwa Serikali Mbili ZILIZOBORESHWA.


Tusemezane.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi unadhani LEO hii viongozi wetu watakubali kurudi kwenye AZIMIO la Arusha?Hata likiboreshwa unadhani watakubali kupoteza mabilioni waliojiwekea na familia zao?Je,hauoni kila Kiongozi anatafuta njia ya kumrithisha mtoto au nudguye wakaribu jimbo analoliongoza leo?

Sijui labda inawezekana lakini kwa reality ni sawa na kufikiri kujenga nyumba kwa TOFALI LA BARAFU
 
Kwa maana nyingineni kuwa, watu wafilise mali zao na ziwe za umma....hembu angali ni wangapi wataathirika na maamuz hayo kwa walion ndani ya cham tawala..sidhani kama kuna mtu atapona..

Motion:

Mwananchi atafaidika zaidi kiuchumi na kijamii iwapo Katika KATIBA MPYA CCM itapigania kurudishwa kwa Azimio la Arusha LILILOBORESHWA kuliko kupigania kurudishwa kwa Serikali Mbili ZILIZOBORESHWA.


Tusemezane.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Azimo la Arusha was just another good on paper documents.

But it was used as a framework for implementing all national policies and planning 1967-1995 before the invention of VISION 2025. The former was national - owned, the latter is donor-owned.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Haya shosti ni kitu gani kibaya katika AZIMIO LA ARUSHA. Kushindwa ku-implement ni tatizo la fikra za Mwalimu au watu? Jibu straight to the point usianze kupaparika.

Ni Nyerere ndio tatizo si watu. Fikra zake hazikuweza kutekelezeka, kajaribu kwa miaka zaidi ya 20 kashindwa. Na fikra zake zingine athari yake unaiona mpaka hii leo, watu wanadai Tanganyika yao aliyoiuwa.
 
Faizafoxy utakuwa unampenda sana nyerere aisee only woman huwa wanakuwa hivi kwa watu waliowapenda halafu kukatokea mtafaruku,men they dont do your staff
 
Azimio la Arusha ni habari za kufikirika zilizoshindwa kuwa implemented hata kidekteta na Nyerere.

Leo watu wanasonga mbele, sisi tunataka turudi nyuma! ajabu.

Kitacho tusaidia ni kitu kimoja tu. Tuwache roho za kichawi. Ukimwambia mtu "ndio" iwe ndio kweli, na hiyo inaanzia shule, shule zetu haziwatayarishi wanafunzi kuwa wa kweli wa kauli na nafsi zao, iliharibiwa toka enzi za Nyerere, inabidi tubadilike tuzibadilishe njia na namna zetu za kufundisha na nini cha kufundisha. Elimu na mitaala ndiyo inayo mold Taifa.

Hii nchi haiendelei na wala haitoendelea kwa kuwa na watu ambao bado wanafikiri kuwa na fikra za Kinyerere zilishindwa mwenyewe akiwa hai zinaweza zikafaulu sasa kisha kufa. Maawe!

Tukitaka kuendelea tuachane kabisa na fikra za Nyerere.

unaonaje tukianza kuachana na hii ya serikali mbili ili tusonge mbele.
 
Mbali ya kufuta "leadership code" iliyozuia viongozi kufisadi, pia tusisahau kwamba azimio la arusha ambalo lilikuwa ni framework to implement development policies and planning (1967-1985), azimio hili baada ya kufutwa rasmi, likawa replaced na VISION 2025, effectively kuanzia mwaka 1995.
Kwa maana hii, this new framework has been around for 19 years, almost the same kama lilivyokaa azimio la arusha. Malengo ya VISION 2025 ni haya:



Kwahiyo wale wote wanaosema azimio la arusha halikuwa na faida zozote za maana kwa wananchi walio wengi, watueleze Vision 2025 imekuwa na faida gani kwa wananchi walio wengi, hasa kwa kuangalia malengo yaliyowekwa na hii Vision, kisha kufananisha na masuala ambayo azimio la arusha ililenga kuyafanyia kazi.

Cc Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, FJM, Mag3, Mtanganyika, EMT, Kobello, Gamba la Nyoka, MwanaDiwani, Nape Nnauye, ZeMarcopolo, Ritz, zomba, Candid Scope, Zakumi, zinedine, Mwigulu Nchemba


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Kifupi naweza sema walioua Azimio la Arusha kwa kusambaratisha mashirika ya umma ndio waliokuwa wamechukua jukumu la kuua Azimio la Arusha totally. Matokeo yake ikawa kupigilia msumari kwa:
  • Kubinafsisha mashirika ya umma
  • Kuuziana mali za umma kama nyumba nk
  • Wachache kujengeana uwezo wa kumiliki uchumi wa taifa iwe kwa njia haramu, siri na kwa mikanganyiko.

Tumeweza kuona kundi la wachache wanaojina na kujivika haki ya kuhodhi nchi na mali yake ndio wasiotaka kile ambacho wananchi wanakitaka katika nchi yao, maana ukisha ruhusu kile ambacho wananchi wanataka ni dhahiri maficho yatafichuka. Kwa mfano Kiongozi wa juu akitoka CCM na wa serikali ya Tanganyika akatoka chama kingine maana yake hapo vichaka vyote ni tifutifu.
 
unaonaje tukianza kuachana na hii ya serikali mbili ili tusonge mbele.

Kwangu yote ni sawa, iwe moja, mbili, tatu, nne au iwe hakuna kabisa muungano. Muhimu kwangu ni makubaliano yasiyo na manung'uniko kwa wote wanaohusika na msiba huu.
 
U.JINGA mwingine bwana! Eti Azimio la Arusha msingi na nguzo yake ilikuwa serikali 2? Hivi kweli wewe unaifahamu MISINGI YA AZIMIO LA ARUSHA?

Na hiyo ndiyo sifa ya U.JINGA! kupenda kuwa spoon feed! Wa.jinga hawataki kushughulisha BONGO zao. Nitakusaidia na kama hutaridhika come again. Msingi wa Azimio la Arusha ulikuwa SIASA YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA. Serikali 2 has nothing to with misingi ya Azimio la Arusha, ndiyo maana Karume alimwambia Nyerere mwisho wa Azimio la Arusha ni Chumbe. To nourish your understanding about Azimio la Arusha please read "Tanzania Socialism" By JK Nyerere
 
Sasa ulichosema hapa ni nini?.

Sasa kama mimi siifahamu hiyo misingi na nguzo zake, wewe usiye m.jinga ungeonekana unaifahamu kama ungeileta hapa badala ya kupiga kelele za debe tupu.

Na hiyo ndiyo sifa ya U.JINGA! kupenda kuwa spoon feed! Wa.jinga hawataki kushughulisha BONGO zao. Nitakusaidia na kama hutaridhika come again. Msingi wa Azimio la Arusha ulikuwa SIASA YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA. Serikali 2 has nothing to with misingi ya Azimio la Arusha, ndiyo maana Karume alimwambia Nyerere mwisho wa Azimio la Arusha ni Chumbe. To nourish your understanding about Azimio la Arusha please read "Tanzania Socialism" By JK Nyerere
 
Mbali ya kufuta "leadership code" iliyozuia viongozi kufisadi, pia tusisahau kwamba azimio la arusha ambalo lilikuwa ni framework to implement development policies and planning (1967-1985), azimio hili baada ya kufutwa rasmi, likawa replaced na VISION 2025, effectively kuanzia mwaka 1995.
Kwa maana hii, this new framework has been around for 19 years, almost the same kama lilivyokaa azimio la arusha. Malengo ya VISION 2025 ni haya:



Kwahiyo wale wote wanaosema azimio la arusha halikuwa na faida zozote za maana kwa wananchi walio wengi, watueleze Vision 2025 imekuwa na faida gani kwa wananchi walio wengi, hasa kwa kuangalia malengo yaliyowekwa na hii Vision, kisha kufananisha na masuala ambayo azimio la arusha ililenga kuyafanyia kazi.

Cc Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, FJM, Mag3, Mtanganyika, EMT, Kobello, Gamba la Nyoka, MwanaDiwani, Nape Nnauye, ZeMarcopolo, Ritz, zomba, Candid Scope, Zakumi, zinedine, Mwigulu Nchemba


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi;

Kushindwa kwa vision 2025 haina maana kuwa azimio la Arusha lilikuwa mswanu. Sera za uchumi sio sayansi. Hivyo hakuna uhakika wa mafanikio.

Hili mafanikio yaweze kupatikana katika maendeleo ya uchumi ni lazima waendeshaji wa sera wawe wanabadilika kutokana na wakati na kuboresha sera zao.

Aliyeua Azimio la Arusha ni Nyerere mwenyewe kwa sababu hakutaka kubadilika au kwenda na wakati.
 
Aliyeua Azimio la Arusha ni Nyerere mwenyewe kwa sababu hakutaka kubadilika au kwenda na wakati.[/QUOTE]

Hebu mnilete ilani la azimio la Arusha nisome mm wakizazi kipya sijui zaidi ya kusikia tu halfu kitu cha mwaka 1967 watz wakiwa ml12 sas ml50 sijui kama kinaweza kufaa kwa wakati huu

halafu nyinyi mnapenda kuogopa nchi hii alioharibu kabisa ni nyerere uchumi wa nchii hii umehanza kunadilika. Kutoka kuwa ujamaa na kwnda ubepari enzi za Mkapa lakini utasikia baba wa taifa kafanya nini zaidi watu wanamaliza darasa la unambiwa ikiwa utachaguliwa ni bahati neno ukiwa huwa kwakweli na washangaa semeni ukweli tu
 
Back
Top Bottom