Mdahalo: CCM, Serikali Mbili, Azimio La Arusha

Mdahalo: CCM, Serikali Mbili, Azimio La Arusha

Mchambuzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2007
Posts
4,850
Reaction score
9,434
Motion:

Mwananchi atafaidika zaidi kiuchumi na kijamii iwapo Katika KATIBA MPYA CCM itapigania kurudishwa kwa Azimio la Arusha LILILOBORESHWA kuliko kupigania kurudishwa kwa Serikali Mbili ZILIZOBORESHWA.


Tusemezane.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
CCM hawawezi kurudisha azimio la Arusha kwa sababu utakuwa mwiba kwao. Azmio la arusha lilikuwa na misingi mikuu ambayo ni usawa.. demokrasia, umilikaji wa pamoja wa njia kuu za uchumi chini ya mfumo wa ujamaa nk. ni vigumu mambo haya kurejeshwa na ccm kwani ni sawa na kula matapishi yao.
 
CCM hawawezi kurudisha wala kukumbatia mambo yanayo wazuia kutenda maovu na yenye faida kwa wananchi.Wanacho kifanya ni kile ambacho kina manufaa kwao na kwa chama chao kwanza.
 
Ni kweli mtu mwenye kuitakia mema Tanzania angezungumzia Azimio la Arusha lililoboreshwa ingekuwa bora sana kuliko kuzungumzia serikali mbili zilizoboreshwa kwani hazina maslahi ya moja kwa moja kwa Wananchi. Kwa kuwa Azimio la Arusha lilikuwa ni azimio la utu na lililohakikisha njia kuu za uchumi zinamilikiwa na wananchi ni vigumu sana CCM kupigia debe hoja hiyo kwa kuwa ni kweli kuwa Azimio la Arusha linawaweka uchi viongozi wa chama hicho kiasi kwamba hakuna anayeweza kusimama mbele ya misingi hiyo ya utu. Ilikuwa ni marufuku kwa kiongozi wa uma kujilimbikizia mali. Ni mwanaccm yupi atakayeweza kupigia debe hoja ya namna hiyo wakati kila kukicha mwenye mali ndo mtu wengine ni walala hoi? Haiwezekani kulipigia debe azimio la Arusha kwa mazingira yaliyopo sasa.
 
Mkuu,

Kama uliona bandiko namba moja hapo juu, key words ni Azimio La Arusha "LILILOBORESHWA" dhidi ya Serikali Mbili "ZILIZOBORESHWA"; Swali ni, maboresho yepi yana
Faida kwa mwananchi?


Cc Nguruvi3


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
CCM Inaweza kabisa kurudisha serikali mbili zilizoboreshwa zikawa ndani yake zimeisha boresha Azimio la Arusha. Kwa maana nyingine, CCM inaweza kupiga ndege wawili kwa kutumia jiwe moja.

Kumbuka kuwa Azimio la Arusha liliishi kwa muda mrefu sana ndani ya serikali mbili na kwa maana hiyo, ni serikali hizo hizo mbili zilizoboreshwa zinaweza kulipa nafasi yake tena.

Serikali tatu haziwezi kuishi na Azimio la Arusha kwa sababu ujenzi wake ulikuwa solely katika msingi na nguzo ya serikali mbili.
 
CCM Inaweza kabisa kurudisha serikali mbili zilizoboreshwa zikawa ndani yake zimeisha boresha Azimio la Arusha. Kwa maana nyingine, CCM inaweza kupiga ndege wawili kwa kutumia jiwe moja.

Kumbuka kuwa Azimio la Arusha liliishi kwa muda mrefu sana ndani ya serikali mbili na kwa maana hiyo, ni serikali hizo hizo mbili zilizoboreshwa zinaweza kulipa nafasi yake tena.

Serikali tatu haziwezi kuishi na Azimio la Arusha kwa sababu ujenzi wake ulikuwa solely katika msingi na nguzo ya serikali mbili.

U.JINGA mwingine bwana! Eti Azimio la Arusha msingi na nguzo yake ilikuwa serikali 2? Hivi kweli wewe unaifahamu MISINGI YA AZIMIO LA ARUSHA?
 
U.JINGA mwingine bwana! Eti Azimio la Arusha msingi na nguzo yake ilikuwa serikali 2? Hivi kweli wewe unaifahamu MISINGI YA AZIMIO LA ARUSHA?
Sasa ulichosema hapa ni nini?.

Sasa kama mimi siifahamu hiyo misingi na nguzo zake, wewe usiye m.jinga ungeonekana unaifahamu kama ungeileta hapa badala ya kupiga kelele za debe tupu.
 
Azimio la Arusha ni habari za kufikirika zilizoshindwa kuwa implemented hata kidekteta na Nyerere.

Leo watu wanasonga mbele, sisi tunataka turudi nyuma! ajabu.

Kitacho tusaidia ni kitu kimoja tu. Tuwache roho za kichawi. Ukimwambia mtu "ndio" iwe ndio kweli, na hiyo inaanzia shule, shule zetu haziwatayarishi wanafunzi kuwa wa kweli wa kauli na nafsi zao, iliharibiwa toka enzi za Nyerere, inabidi tubadilike tuzibadilishe njia na namna zetu za kufundisha na nini cha kufundisha. Elimu na mitaala ndiyo inayo mold Taifa.

Hii nchi haiendelei na wala haitoendelea kwa kuwa na watu ambao bado wanafikiri kuwa na fikra za Kinyerere zilishindwa mwenyewe akiwa hai zinaweza zikafaulu sasa kisha kufa. Maawe!

Tukitaka kuendelea tuachane kabisa na fikra za Nyerere.
 
Motion:

Mwananchi atafaidika zaidi kiuchumi na kijamii iwapo Katika KATIBA MPYA CCM itapigania kurudishwa kwa Azimio la Arusha LILILOBORESHWA kuliko kupigania kurudishwa kwa Serikali Mbili ZILIZOBORESHWA.


Tusemezane.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mkuu! Kwanini CCM na si Wajumbe wa Bunge wote? Lakini huo ndio Ukweli, japo unauma! Ni wazi kuwa kupata Katiba bora tunategemea KUDRA na MSALIE MTUME za CCM! Ndio MTEGO wetu na tumenaswa!
MAENDELEO NI HESABU! Na Mustakabali wa Taifa si wa kuuchezea Mchezo wa Bahati Nasibu au Kufanyia Majaribio"! TUNATAKA HAKIKA YA USTAWI WETU NA SI KUBAHATISHA! Tuchukue hatua nyuma, HAKUNA KUCHELEWA kwani watoto wetu bado matumboni mwa mama zao! BOTTOM-UP APPROACH! Hakuna wa kusikiliza, haina maana hatutoi sauti, ni wakati wa kujisikiliza!
Mungu wetu yu tayari kutushindia vitani. Anaita sasa!
 
Haya shosti ni kitu gani kibaya katika AZIMIO LA ARUSHA. Kushindwa ku-implement ni tatizo la fikra za Mwalimu au watu? Jibu straight to the point usianze kupaparika.
Azimio la Arusha ni habari za kufikirika zilizoshindwa kuwa implemented hata kidekteta na Nyerere.

Leo watu wanasonga mbele, sisi tunataka turudi nyuma! ajabu.

Kitacho tusaidia ni kitu kimoja tu. Tuwache roho za kichawi. Ukimwambia mtu "ndio" iwe ndio kweli, na hiyo inaanzia shule, shule zetu haziwatayarishi wanafunzi kuwa wa kweli wa kauli na nafsi zao, iliharibiwa toka enzi za Nyerere, inabidi tubadilike tuzibadilishe njia na namna zetu za kufundisha na nini cha kufundisha. Elimu na mitaala ndiyo inayo mold Taifa.

Hii nchi haiendelei na wala haitoendelea kwa kuwa na watu ambao bado wanafikiri kuwa na fikra za Kinyerere zilishindwa mwenyewe akiwa hai zinaweza zikafaulu sasa kisha kufa. Maawe!

Tukitaka kuendelea tuachane kabisa na fikra za Nyerere.
 
Mengi ya yaliyokuwemo kwenye Azimio la Arusha lililoboroshwa tayari yako katika Rasimu ya Pili ya Katiba.
 
Wadau,

Katika nukuu hapo chini:
*Yepi bado yanatufaa katika nyakati hizi bila ya kuyabadilisha.
*Yepi yanatufaa lakini baada ya maboresho au marekebisho.
*Yepi hayatufai, hivyo tuachana nayo?

Tujadiliane kwa hoja.

On the Policy of Self-Reliance in Tanzania, February 5, 1967.

Source:
From Africa Report, March 1967 issue of pp. 11-13

It is obvious that in the past we have chosen the wrong weapon for our struggle, because we chose money as our weapon. We arc trying to overcome our economic weakness by using the weapons of the economically strong - weapons which in fact we do not possess. By our thoughts, words, and actions it appears as if we have come to the conclusion that without money we cannot bring about the revolution we are aiming at. It is as if we have said, "Money is the basis of development. Without money there can be no development."...

It is stupid to rely on money as the major instrument of development when we know only too well that our country is poor. It is equally stupid, indeed it is even more stupid, for us to imagine that we shall rid ourselves of our poverty through foreign financial assistance rather than our own financial resources. . . .

Let us therefore always remember the following. We have made a mistake to choose money, something which we do not have, to be our major instrument of development. We are mistaken when we imagine that we shall get money from foreign countries, firstly because, to say the truth, we cannot get enough money for our development and, secondly, because even if we could get it, such complete dependence on outside help would have endangered our independence and the other policies of our country.

Because of our emphasis on money, we have made another big mistake.

We have put too much emphasis on industries. just as we have said "Without money there can be no development," we also seem to say "industries are the basis of development." This is true. The day when we have lots of money we shall be able to say we are a developed country. .

The mistake we are making is to think that development begins with industries. It is a mistake because we do not have the means to establish many modern industries in our country. We do not have either the necessary finances or the technical know-how. It is not enough to say that we shall borrow the finances and the technicians from other countries to come and start the industries. The answer to this is the same one we gave earlier, that we cannot get enough money, and borrow enough technicians to start all the industries we need. And even if we could get the necessary, assistance, dependence on it could interfere with our policy of socialism. The policy of inviting a chain of capitalists to come and establish industries in our country might succeed in giving us all the industries we need, but it would also succeed in preventing the establishment of socialism unless we believe that without first building capitalism, we cannot build socialism. . . .

The development of a country. is brought about by people, not by money. Money, and the wealth it represents, is the result and not the basis of development. . . .

A great part of Tanzania's land is fertile and gets sufficient rains. Our country can produce various crops for home consumption and for export. We can produce food crops (which can be exported if we produce in large quantities) such as maize, rice, wheat, beans, and groundnuts. And we can produce such cash crops as sisal, cotton, coffee, tobacco, pyrethrum, and tea. Our land is also good for grazing cattle, goats, sheep, and for raising chickens; we can get plenty of fish from our rivers, lakes, and from the sea. All of our farmers are in areas which can produce two or three or even more of the food and cash crops enumerated above, and each farmer could increase his production so as to get more food or more money. And because the main aim of development is to get more food, and more money for our other needs, our purpose must be to increase production of these agricultural crops. This is in fact the only road through which we can develop our country - in other words, only by increasing our production of these things can we get more food and more money for every, Tanzanian.

Everybody wants development, but not everybody understands and accepts the basic requirements for development. The biggest requirement Is hard work. Let us go to the villages and talk to our people and see whether or not it is possible for them to work harder.

In towns, for example, the average paid worker works seven and a half or eight hours a day for six or six and a half days a week. This is about 45 hours a week, excluding two or three weeks leave every year. This means that an urban worker works for 45 hours a week in 48 to 50 weeks a year.

For a country like ours, these are really quite short working hours. In other countries, even those which are more developed than we are, people work for more than 45 hours a week. It is not normal for a young country to start with such a short working week. The normal thing is to begin with long working hours and decrease them as the country becomes more and more prosperous. By starting with such short working hours and asking for even shorter hours, we are in fact imitating the more developed countries. And we shall regret this imitation. . . .

It would be appropriate to ask our farmers, especially the men, how many hours a week and how many weeks a year they work. Many do not even work for half as many hours as the wage-earner does. The truth is that in the villages the women work very hard. At times they work for 12 or 14 hours a day. They even work on Sundays and public holidays. Women who live in the villages work harder than anybody else in Tanzania. But the men who live in villages (and some of the women in towns) are on leave for half of their life. The energies of the millions of men in the villages and thousands of women in the towns which are at present wasted in gossip, dancing, and drinking, are a great treasure which could contribute more toward the development of our country than anything we could get from rich nations. .

The second condition of development is the use of intelligence. Unintelligent hard work would not bring the same good results as the two combined. Using a big hoe instead of a small one; using a plough pulled by oxen instead of an ordinary hoe; the use of fertilizers; the use of insecticides; knowing the right crop for a particular season or soil; choosing good seeds for planting; knowing the right time for planting, weeding, etc.; all these things show the use of knowledge and intelligence. And all of them combine with hard work to produce more and better results.

The money and time we spend on passing on this knowledge to the peasants are better spent and bring more benefits to our country than the money and the great amount of time we spend on other things which we call development. . . .

None of this means that from now on we will not need money or that we will not start industries or embark upon development projects which require money. Furthermore, we are not saying that we will not accept, or even that we shall not look for, money from other countries for our development. This is not what we are saying. We will continue to use money; and each year we will use more money for the various development projects than we used the previous year because this will be one of the signs of our development.

What we are saying, however, is that from now on we shall know what is the foundation and what is the fruit of development. Between money and people it is obvious that the people and their hard work are the foundation of development, and money is one of the fruits of that hard work.

From now on we shall stand upright and walk forward on our feet rather than look at this problem upside down. Industries will come and money will come, but their foundation is the people and their hard work, especially in agriculture. This is the meaning of self-reliance. . . .

Haya yote CCM iliamua kuachana nayo mwaka 1992 na kuleta azimio la zanzibar. Kuanzia hapo, CCM ikaachana na wanyonge na kuanza kuwa karibu zaidi na wenye nguvu - kwa nchini mafisadi, kwa walio nje - wawekezaji. Mwananchi akabaki kuwa ni mtu wa kuokoteza okoteza tu maisha ndani ya mfumo wa uliberali HOLELA.

Kwa wale wanaohitaji tafsiri ya kiswahili, nitajitahidi kuileta.

Tusemezane.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
CCM Inaweza kabisa kurudisha serikali mbili zilizoboreshwa zikawa ndani yake zimeisha boresha Azimio la Arusha. Kwa maana nyingine, CCM inaweza kupiga ndege wawili kwa kutumia jiwe moja.

Kumbuka kuwa Azimio la Arusha liliishi kwa muda mrefu sana ndani ya serikali mbili na kwa maana hiyo, ni serikali hizo hizo mbili zilizoboreshwa zinaweza kulipa nafasi yake tena.

Serikali tatu haziwezi kuishi na Azimio la Arusha kwa sababu ujenzi wake ulikuwa solely katika msingi na nguzo ya serikali mbili.


Asante kwa kutukumbusha, lakini nitumie nafasi hii kukukumbusha pia kuwa Azimio la Arusha lilikuwa kwa Tanzania Bara tu na kamwe Hayati Mzee Karume hakukubali litekelezwe Zanzibar. Mwenyewe alisema mwisho wa Azimio hilo ni kisiwa cha Chumbi- (ukitokea bara kabla ya kufika Zenji). Kwa hiyo sio sahihi kusema kuwa lilipata hifadhi kwenye serikali mbili kwani utekelezaji wake ulikuwa wa upande mmoja wa Muungano.
 
Mara nyingi kama sio zote CCM huwa inamkumbuka na kumuhitaji mwananchi wa kawaida wakati wa kupiga kura, baada ya zoezi la kupiga kura hali ugeuka na mwananchi wa kawaida uanza kupigwa kula na Viongozi aliowachagua kwa matumaini makubwa!
 
Faiza,

You are negatively critical of Mwl. in all your postings. which takes away any creative thinking on your part. You are making massive attempt (and poorly at that) to reduce his stature to that of the likes of Mobutu, Gadafi, et al.
You may dislike Mwl and you are entitled to your feelings, by the way, but you are unreasonable to challenge the ideologies he propounded without due regard to the times he lived and the resources (people, etc,) around him and the global challenges to that matter.
He was a human being, just like you and I. If patriotism is a yardstick to use, how would the likes of you compare to him?? What have you done for your country? He, on the other hand, will remain in history books as one of the greatest Africans to have graced this continent, love it or hate it, my dear sister!

PP
 
AZIMIO LA ARUSHA ilipitishwa na almashauri kuu ya TANU mwezi januari 1967 na kuthubitishwa na mkutano mkuu wa TANU mwezi marchi 1967 na kutolewa mwaezi februari 1967. IMANI YA TANU siasa ya TANU ni kujenga nchi ya ujamaa. misingi ya ujamaa imetajwa katika katiba ya TANU nayo ni:-

  • kwamba binadamu wote ni sawa
  • kwamba kila mtu anastahili heshima
  • kwamba kila raia ni sehemu ya taifa na anayo haki ya kushiriki sawa na wengine katika serikali kuanzia ya mtaa mkoa hadi serikali kuu
  • kwamba kila raia ana haki na uhuru wa kutoa mawazo yake,kwenda anakotaka .kuamini dini anayitakana kukutana na watu mradi havunji sheria
  • kila mtu ana haki ya kupata kutoka kwenye jamii ifadhi ya maisha yake na mali yake aliyonayo kwa muhujibu wa sheria.
  • kwamba kila mtu ana haki ya kupata malipo ya haki kutokana na kazi yake.
  • kwamba raia wote kwa pamoja wanamiliki utajiri wa asili wa nchi hii ukiwa kama dhamana kwa kizazi chao.
  • kwamba ili kuhakikisha uchumi wa nchi unakwenda sawa serikali lazima iwe na mamlaka kamili juu ya njia za muhimu kukuza uchumi.
  • kwamba ni wajibu wa serikali ambayo ni watu wenye kuingilia kati kwa vitendo maisha ya uchumi ya taifa ili kuhakikisha ustawi wa raia wote na kuzuia mtu kunyonya kikundi kingine na kuzuia limbikizo la utajiri kufikia kiasi ambacho hakipatani na siasa ya watu wote kuwa sawa
MADHUMUNI YA TANU:

  • kwa hivyo basi ,makusudi na madhumuni ya TANU yalikuwa kama ifuatavyo...
  • kudumisha uhuru wa nchi yetu na raia wake
  • kuweka heshima ya mwanadamu kwa kufuata barabara kanuni za tangazo la ulimwengu la haki za binadamu
  • kuhakikisha kwamba nchi yetu inatawaliwa na serikali ya watu wa kidemokrasia na ya kisoshalist
  • kushirikaiana na vyama vyote vya siasa katika Afrika vinavyipigania uhuru wa bara lote la Afrika
  • kuona kwamba serikali inatumia mali yote ya nchi kuondosha ujinga maradhi na umasikini
  • kuona kwamba serikali inasaidia kwa vitendo kuunda na kudumisha vyama vya ushirika.
  • kuona kwamba kila iwezekanapo serikali inashiriki katika hasa katika maendeleo ya uchumi wa nchi yetu
  • kuona kwamba serikali inatoa nafasi sawa kwa wote wake na waume bila kujali rangi kabila wala dini
  • kuona kwamba serikali inaondoa kila aina ya dhuluma vitisho ubaguzi rushwa na upotofu
  • kuona kwamba serikali ya nchi yetu inasimamia barabara njia kuu za kuzalisha mali na inafuata barabar a siaisa ambayo inarahisisha njia ya kumiliki kwa jumla mali ya nchi yetu
  • kuona kwamba serikali inashirikiana na dola nyingine katka Afrika kuleta umoja wa Afrika.
  • kuona kwamba serikali inajitahidi kuleta amani na salama ulimenguni kwa njia ya chama cha umoja wa mataifa
  • SIASA YA UJAMAA.>HAKUNA UNYONYAJI...nchi yenye ujamaa kamili ni nchi ya wafanya kazi,haina ubepari wala ukabila haina tabaka mbili za watu, tabaka la chini la watu wanaoishi kwa kufanya kazi,na tabaka la juu la watu wanaoishi kwa kufanyiwa kazi, na katika nchi ya ujamaa kamili mtu hanyonyi mtu bali hawezaye kufanya kazi hufanya kazi.nchi yetu ni ya wakulima na wafanyakazi lakini si nchi ya ujamaa kamili ina misingi ya ebepari na ukabaila wa vishawishi vyake.misingi hii ya ukabaila na upeapri yaweza ikapanuka na kuenea
NJIA KUU ZA UCHUMI NI YA WAKULIMA NA WAFANYA KAZI.namna ya ya kujenga na kudumisha ujamaa ni kuthibitisha kuwa njia kuu zote za uchumi wa nchi yetu zinatawaliwa na wakulima na wafanya kazi wenyewe kwa kutumia vyombo vya serikali yao na ya vyama vyao vya ushirika, pia kuthibitisha kuwa chama kinachotawala ni cha wakulima na wafanyakzi. Njia kuu za uchumi ni kama ardhi,misitu,madini,maji,mafuta na nguvu za umeme. Njia za habari,njia za usafirishaji,mabenki na bima,biashara za nchi za kigeni na biashara za jumla.... I wish CCM irejee misingi ya TANU kama itawezekana nyakati hizi...
[h=4][/h]
 
AZIMIO LA ARUSHA ilipitishwa na almashauri kuu ya TANU mwezi januari 1967 na kuthubitishwa na mkutano mkuu wa TANU mwezi marchi 1967 na kutolewa mwaezi februari 1967. IMANI YA TANU siasa ya TANU ni kujenga nchi ya ujamaa. misingi ya ujamaa imetajwa katika katiba ya TANU nayo ni:-

  • kwamba binadamu wote ni sawa
  • kwamba kila mtu anastahili heshima
  • kwamba kila raia ni sehemu ya taifa na anayo haki ya kushiriki sawa na wengine katika serikali kuanzia ya mtaa mkoa hadi serikali kuu
  • kwamba kila raia ana haki na uhuru wa kutoa mawazo yake,kwenda anakotaka .kuamini dini anayitakana kukutana na watu mradi havunji sheria
  • kila mtu ana haki ya kupata kutoka kwenye jamii ifadhi ya maisha yake na mali yake aliyonayo kwa muhujibu wa sheria.
  • kwamba kila mtu ana haki ya kupata malipo ya haki kutokana na kazi yake.
  • kwamba raia wote kwa pamoja wanamiliki utajiri wa asili wa nchi hii ukiwa kama dhamana kwa kizazi chao.
  • kwamba ili kuhakikisha uchumi wa nchi unakwenda sawa serikali lazima iwe na mamlaka kamili juu ya njia za muhimu kukuza uchumi.
  • kwamba ni wajibu wa serikali ambayo ni watu wenye kuingilia kati kwa vitendo maisha ya uchumi ya taifa ili kuhakikisha ustawi wa raia wote na kuzuia mtu kunyonya kikundi kingine na kuzuia limbikizo la utajiri kufikia kiasi ambacho hakipatani na siasa ya watu wote kuwa sawa
MADHUMUNI YA TANU:

  • kwa hivyo basi ,makusudi na madhumuni ya TANU yalikuwa kama ifuatavyo...
  • kudumisha uhuru wa nchi yetu na raia wake
  • kuweka heshima ya mwanadamu kwa kufuata barabara kanuni za tangazo la ulimwengu la haki za binadamu
  • kuhakikisha kwamba nchi yetu inatawaliwa na serikali ya watu wa kidemokrasia na ya kisoshalist
  • kushirikaiana na vyama vyote vya siasa katika Afrika vinavyipigania uhuru wa bara lote la Afrika
  • kuona kwamba serikali inatumia mali yote ya nchi kuondosha ujinga maradhi na umasikini
  • kuona kwamba serikali inasaidia kwa vitendo kuunda na kudumisha vyama vya ushirika.
  • kuona kwamba kila iwezekanapo serikali inashiriki katika hasa katika maendeleo ya uchumi wa nchi yetu
  • kuona kwamba serikali inatoa nafasi sawa kwa wote wake na waume bila kujali rangi kabila wala dini
  • kuona kwamba serikali inaondoa kila aina ya dhuluma vitisho ubaguzi rushwa na upotofu
  • kuona kwamba serikali ya nchi yetu inasimamia barabara njia kuu za kuzalisha mali na inafuata barabar a siaisa ambayo inarahisisha njia ya kumiliki kwa jumla mali ya nchi yetu
  • kuona kwamba serikali inashirikiana na dola nyingine katka Afrika kuleta umoja wa Afrika.
  • kuona kwamba serikali inajitahidi kuleta amani na salama ulimenguni kwa njia ya chama cha umoja wa mataifa
  • SIASA YA UJAMAA.>HAKUNA UNYONYAJI...nchi yenye ujamaa kamili ni nchi ya wafanya kazi,haina ubepari wala ukabila haina tabaka mbili za watu, tabaka la chini la watu wanaoishi kwa kufanya kazi,na tabaka la juu la watu wanaoishi kwa kufanyiwa kazi, na katika nchi ya ujamaa kamili mtu hanyonyi mtu bali hawezaye kufanya kazi hufanya kazi.nchi yetu ni ya wakulima na wafanyakazi lakini si nchi ya ujamaa kamili ina misingi ya ebepari na ukabaila wa vishawishi vyake.misingi hii ya ukabaila na upeapri yaweza ikapanuka na kuenea
NJIA KUU ZA UCHUMI NI YA WAKULIMA NA WAFANYA KAZI.namna ya ya kujenga na kudumisha ujamaa ni kuthibitisha kuwa njia kuu zote za uchumi wa nchi yetu zinatawaliwa na wakulima na wafanya kazi wenyewe kwa kutumia vyombo vya serikali yao na ya vyama vyao vya ushirika, pia kuthibitisha kuwa chama kinachotawala ni cha wakulima na wafanyakzi. Njia kuu za uchumi ni kama ardhi,misitu,madini,maji,mafuta na nguvu za umeme. Njia za habari,njia za usafirishaji,mabenki na bima,biashara za nchi za kigeni na biashara za jumla.... I wish CCM irejee misingi ya TANU kama itawezekana nyakati hizi...
[h=4][/h]

Shukran RockSpider,

Msingi wa mada yangu ni je - what makes sense zaidi linapokuja suala la kuinua wananchi kiuchumi na kijamii - je turudi katika serikali mbili zilizoboreshwa chini ya katiba mpya au azimio la arusha liliboreshwa?

Kwa maana nyingine - ccm ingeeleweka zaidi kulinda maslahi ya umma kwa kupigania azimio lililoboreshwa au serikali mbili zilizoboroshwa?




Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Shukran RockSpider,

Msingi wa mada yangu ni je - what makes sense zaidi linapokuja suala la kuinua wananchi kiuchumi na kijamii - je turudi katika serikali mbili zilizoboreshwa chini ya katiba mpya au azimio la arusha liliboreshwa?

Kwa maana nyingine - ccm ingeeleweka zaidi kulinda maslahi ya umma kwa kupigania azimio lililoboreshwa au serikali mbili zilizoboroshwa?




Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mkuu hoja yako iko crystal clear! Azimio la Arusha lililoboreshwa ndiyo suluhisho la matatizo yetu kama nchi! Hili wananitambua sana lakini Sera za Uwekezwaji according to Prof Chachage zinatuandaa kuwekezwa kama nchi! IMF, WB na Nchi wahisani hawezi kukubali Azimio la Arusha lirejee hata likiwa na maboresho yatakayowanufaisha! Mpaka sasa hivi wanadai eti mazingira ya uwekezaji Tanzania siyo rafiki sana !!! Back kwenye mada, CCM wangetutendea haki wananchi kwa kurejesha Azimio la arusha kwani hofu ya kutengwa na western imekwisha baada ya Wachina kuja juu! Sera za wachina ziko wazi sana wao ni 50/50 hawana unafiki wa kuangalia masuala ya ndani ya nchi nyingine! Sasa hivi nchi za magharibi zinatuhitaji kuliko tunavyowahitaji! Wakenya wamejitambua wakakataa misaada katakata na sasa wanapaa kiuchumu...Once again Azimio la Arusha ndo suluhu la matatizo yetu kwa chama chochote kitakacho shika dola coming 2015...
 
Back
Top Bottom