Naye si binadamu???Tuwaoe vipi ni wadada wa kazi tunawaongezea kazi zingine za kukazia viuno.Kazi juu ya kazi
Mimi hata sijajua ni vitu gani hadi mda huu🤣Kwenye huu ujumbe nime shika kimoja tuu VIDAKA USHUZI.
Ukimkuta hivyo mpe hela ya waxi usimuacheNiseme tu asantee Sana Sana unakuta mwanamke ana manyoya kwapani duh too sad
Mimi demu ni kudate chakwana naangalia kwapa Kama linatoa harufu au akinyoa linakuwa jeusi najua hakunawanamke hapo!!
mkuu ,akituma nitafurahia bafu Leo ingekoma.Acha njaa!!!🤣🤣
Lakini na wao so wanaipata utamu?au HUJUI uroda ni haki ya kibinaadamu na ukamilifu wa kiutu.Naye si binadamu???
kwani hawana sifa za kuolewa???
eti kazi juu ya kazi🤣🤣🤣🤣😅
Kama ni kazi muwalipe sasa😏😏😏😏ndio sehemu yenu yakupunguzia upwiru bure
Sawa mwari wangu, nakuleteaHako hako
Nakasubiri kwa hamu😋
Mkono wa kulia ungepata ujauzito.mkuu ,akituma nitafurahia bafu Leo ingekoma.
😋😋😋.Pombe,magemu,pesa,sex,safari za ndege,movie and series
Ndo hapo sasaAnafosi mapenzi 😃😀
Huku Turkey kuna mvua balaa!Wapi huko kuna mvua? Huku kinone jua linawake tuu
Sikubaliani na wew unatupotoshaDhambi haiwi dhambi mpaka muumba aione na kuiandika.
Nenda kwa mangi wakupe soda kubwaa takeaway ntalipa. Unajua nini, hakuna kitu kinatukata steam kama harufu. Wengine "k" zinatema kama dagaa walioozaMwanamke unakuwaje na kiharufu
Osha hizo nywele zisinuke,usikae na nywele miezii hadi zianze kutoa harufu
Safisha uso huo usiwe kama umemwagiwa pumba, ukiweza tafuta face wash uso uwe na nuru
Shingo hiyo isugue vizuri isiwe nyeusi kama ya mbuzi
Shuka kwenye manyonyo hayo sugua chini ya ziwa kuna tabia ya kutengeneza weusi, sugua vizuri katikati ya ziwa hapo pasiwe peusi
Sugua mgongo huo,shuka hadi mstari wa ikweta huo jasho la huko linatoa harufu si mchezo,sugua na unyoe hivyo vidaka ushuzi
Sugua wowowo hilo fanyia scrub hivyo vipele vinaisha, hakikisha linakuwa soft jamani sio gumu kama tairi 🤣
Ukimaliza lipake body oil lilainikeee
Sugua kwapa,nyoa hizo nywele za kwapa ndo maana kiharufu hakiishi,tumia limao kutoa harufu ya kwapa kama deodorant ya afu tatu imekushinda
Huko kwa bibi nyoa, safisha mashavu ya bibi nje na ndani, ukitoka period fanya steaming kutoa hiko kiharufu cha period.
Ukiweza kufanya waxing fresh!ukiweza kunyoa kwa shaving cream sawa,mradi tu usiwe na manywele huko
Sugua ulimi huo usinuke mdomo ni kero sana,meno yawe safi tumia mouth wash msichana unanukaje mdomo
Kucha zako hakikisha ni safi kama unafuga hakikisha ni safi kama ni fupi hewalaaaa, kama rangi paka ijulikane
Acha kutumia mkorogo
Acha kubadilisha wanaume nayo ni uchafu
Kunywa sana mtindi
Kula matunda
Acha kunywa energy drinks sio nzuri kiafya
Ukiweza nunua sunscreen jua sio zuri kwa ngozi
Hakikisha unanukia vizuri
Hakikisha una chupi nzuri
Mengine ongezeeeni...I come in peace ✌️View attachment 3287037
Unafaa kwa namna ganiNafaa mama mchunga😊
Neno dhambi linamhusu Mungu mkuu,Na Mimi nasikiaga wakisema dhambi kwa Mungu.sijui chochote bro min me.Sikubaliani na wew unatupotosha
Utajuaje ameiona na kuindika hiyo dhambi??
Hakyanani mkuu,Apia
Utamu upi wakati huwa mnawabaka kwa zile haraka zaLakini na wao so wanaipata utamu?au HUJUI uroda ni haki ya kibinaadamu na ukamilifu wa kiutu.