Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Kwani hao machizi hawawezi kupewa mimba na machizi wenzao? una uhakika gani kua wamepewa mimba na watu timamu?

Mtu mwenye akili ya utimamu hawezi kulala na chizi.
Research zinasema ni watu timamu kabisa wengi wao na kufumwa.juu.Machizi wa kiume kwanza muda huo hawana ndo Mana wakawa machizi hao wa kike Mara nyingi Wana be raped
 
Haaa haaa hata umfanyeje mwisho wa siku unaamua kuwa Naye tu...na wewe why kumvamia mtu Kama haupo serious naye
Mimi sipo serious hata na mimi mwenyewe, seuze yeye


Nikiamua kuwa serious nitaona "logical non sequitur" logical fallacy katika kila kitu unachosema, na kuorodhesha contradictions zote kwenye Biblia, Quran na katiba zote za dunia, sifikiri kama utapenda.
 
Maua yake tafadhali sana umeandilka madini sana
 
Imagine umgande mwanaume ambae anatembea na machizi.
Akili ya wapi hii?
Ni mfano na sio wote wanaotembea na machizi lkn tunaona mtaani machizi wenye watoto zaidi ya mmoja na sura za wababa wa mtaani Duniani Kuna mengi dear Demi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…