Mdada, ukipata mpenzi Mgande

hapa ndo tutakapogandwa kama ruba hata ufanye vituko vipi mtu akuachi ng'o
 
Duh poleni mnaoachwa mi huwa nabembelezwa na kupigiwa magoti, kote ninakopita ila bado huwa nawapa vibuti, sipendi usumbufu kabisa
 
Make kwanza ncheke mie Niko paleeee
 
Duh poleni mnaoachwa mi huwa nabembelezwa na kupigiwa magoti, kote ninakopita ila bado huwa nawapa vibuti, sipendi usumbufu kabisa
Dem ukimwambia unamwacha atavimba kichwa dawa ni kimya kimya tu😂
 
nyokoooo zakoo wee
 
Bas sitaki teena, kwanza nna mume miye namuachia nani huku!!!?


Aende tu cocastic
Tulikutuma uanzishe mjadala wakuleta hao wa mtu uko na mme badala ya kumpa mbususu mda huu uko unachati🤣🤣hii ichi inamahusiano ya ajabu kwer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…