🤣🤣🤣🤣🤣Usifute number yangu ya simu nakushauri,,,,Sina Imani nae sana huyo japo nimempitisha!Nina mashaka naeNakuambiajee Kiranga bebee wangu pesa anazo, kila nikitaka miguu ya kuku na utumbo, napanda ndege nakuja huku uswekenii, nikichokaa napanda ndegee huyo Los Angeles.
🙄🤣🤣🤣Ww sinikijana mwenzangu alafu unanipondea kwa bebez usiwanyime ridhiki bhn kila mmoja na Maono yake wakuja aje uko SA mbn mshachoka kwenda ata ivo
Watu wanataka kuwapeleka bebez zao USA huko we unakuja na habari za magurudumu, yasukume mwenyewe
🚶🚶🚶🚶🚶utumbo upo ata pale kwa mama kibonge buza mbn mtam pia au upo uo🤣Nakuambiajee Kiranga bebee wangu pesa anazo, kila nikitaka miguu ya kuku na utumbo, napanda ndege nakuja huku uswekenii, nikichokaa napanda ndegee huyo Los Angeles.
Fitna tumezimaliza, asante dada mkubwa.Kama Kawa!sisi ndio ndugu wananchi watanzania 🤣🤣🤣
Naam,noma sana.
Ndo mana kiranga aliamua kupiga kura kwa miguu kwenda kusukuma gurudumu lake halafu leo ndio kama hivi anatafuta wa kuteremsha nae gurudumu.
Nasema uongo brother Kiranga ?
Naam,
Mwanamme nguvu atii, nguvu zote za juu na chini na mfukoni 😀 😀
Usifute number yangu ya simu nakushauri,,,,Sina Imani nae sana huyo japo nimempitisha!Nina mashaka nae
Ndoo ntakua naenda hapo kwa Rulengeeutumbo upo ata pale kwa mama kibonge buza mbn mtam pia au upo uo
Kwa Dj Marck au Achechee production vingungutii kidarajaniiAu Yombo kwa Limboa
Kwa Dj Marck au Achechee production vingungutii kidarajanii
Nimehuzunika sana na tabia zao za kishetani🙇🙇🙇🙇🙇nitawaonya.Fitna tumezimaliza, asante dada mkubwa.
Sasa naomba nisaidie nimesikia wadogo zako wananifanyia ulozi.
Mimi sipendi mambo hayo, wajiamini tu, tunajenga udugu piga ua galagaza.
Ulozi sipendi.
Mnazitamani sana ndoa mkizipata tu mnaanza Kasi ya kuzibomoa, wanawake wa Kikristo ndio hovyo kabisa Bora uishi nao uchumba sugu hawajui kabisa Nini maana ya ndoa,wakishazichezea uenda kulia Lia hovyo kwa mtume wao kukanyagishwa mafuta ya urejesho.Hovyo kabisa.
Wa kiislam angalau sababu wanaishi Kama mpangaji.
Mods,nina zawadi yake huyu mleta madaHeloo,
Hope you are doing poaa. Leo Nina kaujumbe kadogo kwa rafiki zangu jinsia ya kike!
Ni hiv, :zama za kususa, kuzira sijui atanitafuta shost angu utachina. Miaka hii ukipata mtu anayesomeka tambaa Naye mbele kwa mbele kitaeleweka tu.
Haya Mambo eti nimemfuma na sms za mwanamke simtaki tena baradhuri yule mshenzyy weweee wapi nyonyo wapi titi utaganda. Wewe ongeeni kaka ataonyesha kujutia yatengenezeni mjenge mahusiano na safari ya maisha iendelee.
Ipo hivi hawa wenzetu kama hamjui wao kulala hata na chizi kwao ni sawa. Sasa wewe jiulize machizi jojina humo barabarani yamepewa mimba na nani? Ni hawa hawa.
Cha kufanya hapa ni kutulia na mtu wako it raining everywhere my dear young sister usichezee bahati uliyopata, hebu angalia single mother wanavyonyanyaswa kwenye maandiko ya humu JF na mtaani Maana mwisho wa siku umri utaenda utaamua kuzaa tu. Maana hakuna asiyependa kuitwa mama sasa itwa Mama ukiwa na Baba pembeni ndugu au Kanisa au msikiti viwatambue lakini yote yatawezekana mkijenga msingi mzuri wa mahusiano.
Kumetokea mtafaruku kidogo elewaneni songeni mbele, Mambo ya kuzira na kususa wenzio watamchukua na utaachwa hapo unashangaa maisha hayapo simple ivyo.
Ni mwendo wa kukomaaa!