Na utachinaaaa uduguuuu wanguuuu, USA km mbeleeee,Ndio ninachokupendea dada mkubwa huna kona kona
Udugu cocastic njoo uchukue file la shem wa USA kutoka kwa dada, usije kujichanganya etiii
Kwakweli ngoja nikitulize na passport niirudishe nisubiri baby wangu Kantri anipeleke Dubai holiday au Sanya juu nikalishe majani twiga
nasemajee huyo baba ana helaa balaa, anaweza kuinunua JF yote pamoja na mello na moderators wake.
Mlongo nileka na lidoda langu leniliii, lina hela, koto kumkinilaa wengaaa, au ve ugani lepa tuhamba kwe ku marekano??uwaya kukwela mndege?? Apu hinu pe paunijovili niyeliwi he.
Kiranga komo, zingatia jina la shem lakini
Nyokooooo zako, mange alivyo mkuda utaskia "mchachuaji wa jamii forums aachwa solemba Atlanta "sawa sawa udugu mke wa tajiri, ila chonde chonde ticket ziwe go n return sitaki ya Gigy!! Tutajikuta Mange app tumechafua hali ya hewa
@Kiranga bebee beibee hebu njoo waeleze ukweli kuhusu pesa zako ulizoficha Uswisi, si ndo ulisema za kunihongaa mie??Jichanganye dada kashakuchana
Fitna zishaanza naona.Hana kitu huyo! we hujui tu mwaka wa 22 hana nauli ya kurudi bongo,we endelea kudanganyikawe Bora umgande shemeji yangu Countrywide atakupeleka hata Ngorongoro ukaone tembo huyo Kiranga ana miliki maneno tu
Pesa tuu? Hizo mbona kama nachapisha mwenyewe!@Kiranga bebee beibee hebu njoo waeleze ukweli kuhusu pesa zako ulizoficha Uswisi, si ndo ulisema za kunihongaa mie??
Fitna zishaanza naona kijumbe hakijajumbe, dada mkubwa kachacha hataki mahari wala harusi. Nataka kuja mwenyewe nimalize kazi.Kiranga komo, zingatia jina la shem lakini
True hasa ukikosea kuoa kifuatacho ni kifo Cha mapema.Kuna muda naona kama ndoa ya kikristo ni utumwa mwingine ambao umehalalishwa.
Fitna zishaanza naona kijumbe hakijajumbe, dada mkubwa kachacha hataki mahari wala harusi. Nataka kuja mwenyewe nimalize kazi.
Sitaki mchezo mie.
Nyokooooo zako, mange alivyo mkuda utaskia "mchachuaji wa jamii forums aachwa solemba Atlanta "
Ntavoanza kufukuliwa had kyupii navaa rangi ganii
Mimi si mwingi wa habari hivyo, yule kisirani chake kitashuka tu.fanya uje tu shem, lakini kwa dada mkubwa hujapiga muhuri kweli?!!
Mbona km anakujua sana?!!
Nasemajeeeeee babeee ninaee m1 tyuuh, habariiiiii iwafikieeee.Pesa tuu? Hizo mbona kama nachapisha mwenyewe!
Pesa kwangu si tatizo katika matatizo ya dunia hii.
Watu tunataka muda wa ku spend pamoja.
Tunataka kumaliza fitna za wadada wakubwa wanaotaka kutuzibia.
Wengine Trust Fund Babies, unaijua Trust Fund?
Pesa mbona bado natumia za mababu bado, zangu mimi hata siwezi kuzifikia
Njooo babeee wangu, harusii hakuna kuchangia, afu honeymoon ni MaldivesFitna zishaanza naona kijumbe hakijajumbe, dada mkubwa kachacha hataki mahari wala harusi. Nataka kuja mwenyewe nimalize kazi.
Sitaki mchezo mie.
Utajua hujui
Hiyo siku tutatupa simu kwa muda wa miezi sita
Mimi si mwingi wa habari hivyo, yule kisirani chake kitashuka tu.
Ataelewa tu.
Naam,Njooo babeee wangu, harusii hakuna kuchangia, afu honeymoon ni Maldives