StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 6,626
- 7,846
Msome kwanza kama yeye ni Kunguru au Njiwa kabla hujaamua kumfuga(kumganda).Sijui kama nitakuwa nimekuelewa vizuri lkn nadhani unaongelea kwamba ukipata mwanaume anayeeleweka umgande,right;, lakini nafikiri ungetumia neno"Muombee asibadilike" My dia kumganda mtu sio sababu ya yeye kuacha,lahasha,kama Hana mapenzi na ww hata umgande vipi ataondoka tu.
Tuna mifano halisi ya watu tuliowaganda pamoja na kuwa na madhaifu yao tuliyafukia tukawa tunaangalia mema tu,yani hata akosee vipi unaendelea kumpenda na kumganda tu,lkn mwisho wa siku anakutaftia sababu ambayo,wewe mwenyewe utanyoosha mikono useme yes,nimesarender.
Tusichokijua ni kwamba Hawa ndugu zetu wanaume,baadhi yao wakiona wanapendewa na kugandwa sana wanakudharau,sio wote lkn there are some men are very humbled,yani ukimpenda anajua kurudisha shukrani,ila mwingine ukimganda ndo umeula wa Chuya.
So jambo la msingi hapa ni kwamba endapo utapata mwanaume anayeeleweka,na mwenye mapungufu ambayo it can be solved,Muombee asibadilike,lkn kumganda mtu haisound na inategemea kuwa huyo mtu ana mapenzi kwako kiasi gani,kama anakupenda hata usipomganda ataendelea kukupenda tu,nakama hakupendi hata umgande vipi,ataondoka tu,I'm done
Huyu wa sayari Gani jamani?Nadhani wewe ndo unaishi kizamani my dear, dunia ya sasa haipo hivyo unavyowaza. Mawazo yako ni kama ya bibi zetu wa mwaka 1922. Naamini hata binti yangu wa kizazi cha sasa hana mawazo kama ya kwako.
Baada ya miaka 10 hutaongea hiki unachoongea sasa hivi.
Kila la kheri kwenye kuwaganda hawa viumbe...nipo nimekaa paleeeee 👉👉
Kwahiyo unakua na mume halaf unakua na mpenzini mume ndio unaweza kumganda msonge mbele lakini mpenzi ambae ni kama daladala muda wowote unashuka anapanda mwengine hapana,
Napendaga tu akili Yako mdogo wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hutaki kugandana?
Muda wenyewe mchache!😁😁😁Sitaki sister nina mambo mengi ya kufanya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hana kitu huyo! we hujui tu mwaka wa 22 hana nauli ya kurudi bongo,we endelea kudanganyika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]we Bora umgande shemeji yangu Countrywide atakupeleka hata Ngorongoro ukaone tembo huyo Kiranga ana miliki maneno tu
Yaani coca ndio kajiweka hapo ?hakika ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu!we jifanye tu unamsindikiza huyo udugu wako mtajua hamjui huko ughaibuni!yatawahusu ya Gigy🤣🤣🤣🤣 cocastic mlongo wa Nene,mwe bambo yule umganila ki?ailepe na kindu yola.....Usije sema sikukwambia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaaaaaaa!!!!
Sister usinambie, nitapaliwa na chai mwenzio
Eti nauli ya kurudi hana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini sio mimi ni wa coca huyo, mimi nilikua nakazia km shemeji tu
Sasa na sisi si tutakuwa km Gigy tutakosa nauli za kurudi bongo
Kwahiyo unakua na mume halaf unakua na mpenzi
Pole zao sana.acha tuwatindueee na kuwatupilia huko.Kataa ndoa wana maana yaoNdivyo wanavyotaka,yaani umuoe,halafu kuwe na mwanaume mwingine.
Yaani coca ndio kajiweka hapo ?hakika ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu!we jifanye tu unamsindikiza huyo udugu wako mtajua hamjui huko ughaibuni!yatawahusu ya Gigy[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] cocastic mlongo wa Nene,mwe bambo yule umganila ki?ailepe na kindu yola.....Usije sema sikukwambia
Asante sana kwa ujumbe huu kwa wenzetu hawa!Heloo,
Hope you are doing poaa. Leo Nina kaujumbe kadogo kwa rafiki zangu jinsia ya kike!
Ni hiv, :zama za kususa, kuzira sijui atanitafuta shost angu utachina. Miaka hii ukipata mtu anayesomeka tambaa Naye mbele kwa mbele kitaeleweka tu.
Haya Mambo eti nimemfuma na sms za mwanamke simtaki tena baradhuri yule mshenzyy weweee wapi nyonyo wapi titi utaganda. Wewe ongeeni kaka ataonyesha kujutia yatengenezeni mjenge mahusiano na safari ya maisha iendelee.
Ipo hivi hawa wenzetu kama hamjui wao kulala hata na chizi kwao ni sawa. Sasa wewe jiulize machizi jojina humo barabarani yamepewa mimba na nani? Ni hawa hawa.
Cha kufanya hapa ni kutulia na mtu wako it raining everywhere my dear young sister usichezee bahati uliyopata, hebu angalia single mother wanavyonyanyaswa kwenye maandiko ya humu JF na mtaani Maana mwisho wa siku umri utaenda utaamua kuzaa tu. Maana hakuna asiyependa kuitwa mama sasa itwa Mama ukiwa na Baba pembeni ndugu au Kanisa au msikiti viwatambue lakini yote yatawezekana mkijenga msingi mzuri wa mahusiano.
Kumetokea mtafaruku kidogo elewaneni songeni mbele, Mambo ya kuzira na kususa wenzio watamchukua na utaachwa hapo unashangaa maisha hayapo simple ivyo.
Ni mwendo wa kukomaaa!
Eat and run... free Mandela.Sina muda wa kugandana kiukweli
Kuna muda naona kama ndoa ya kikristo ni utumwa mwingine ambao umehalalishwa.Mnazitamani sana ndoa mkizipata tu mnaanza Kasi ya kuzibomoa, wanawake wa Kikristo ndio hovyo kabisa Bora uishi nao uchumba sugu hawajui kabisa Nini maana ya ndoa,wakishazichezea uenda kulia Lia hovyo kwa mtume wao kukanyagishwa mafuta ya urejesho.Hovyo kabisa.
Wa kiislam angalau sababu wanaishi Kama mpangaji.
Ni mwendo wa kuwala tu,wasiolewe ili vijana wanaobalehe wajifunzie kutumia mkongo kwao,wakijua kupeleka moto vizuri,wanaenda kuoa wadada wenye kueleweka.Pole zao sana.acha tuwatindueee na kuwatupilia huko.Kataa ndoa wana maana yao
Ganda ugandweSitaki sister nina mambo mengi ya kufanya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha haaa hata sielewiHuyu wa sayari Gani jamani?
Ganda ugandwe
HIvi unamgandaje mtu asiyetaka, woi hiyo inipiteWell said Demi,
No wonder ndoa nyingi za siku hizi ni migogoro mitupu hayo mambo ya kumganda mtu hata hakupendi unaolewa nae hisia na moyo wake kaacha kwingine,kifuatacho hapo ni dharau,vipigo,kudhalilishwa na kila aina ya tafran.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemajee huyo baba ana helaa balaa, anaweza kuinunua JF yote pamoja na mello na moderators wake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaaaaaaa!!!!
Sister usinambie, nitapaliwa na chai mwenzio
Eti nauli ya kurudi hana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini sio mimi ni wa coca huyo, mimi nilikua nakazia km shemeji tu
Sasa na sisi si tutakuwa km Gigy tutakosa nauli za kurudi bongo
Mlongo nileka na lidoda langu leniliii, lina hela, koto kumkinilaa wengaaa, au ve ugani lepa tuhamba kwe ku marekano??uwaya kukwela mndege?? Apu hinu pe paunijovili niyeliwi he.Yaani coca ndio kajiweka hapo ?hakika ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu!we jifanye tu unamsindikiza huyo udugu wako mtajua hamjui huko ughaibuni!yatawahusu ya Gigy[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] cocastic mlongo wa Nene,mwe bambo yule umganila ki?ailepe na kindu yola.....Usije sema sikukwambia