Mdada, njoo unipende nina sifa 10

Mdada, njoo unipende nina sifa 10

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
42,407
Reaction score
104,826
Sifazangu ni:-
1-Makengeza
2-Pua ka ngumi
3-Nywele ka mkutano wa nzi
4-Maskio ka bakuli
5-Meno ka reki (gaucho)
6-Mdomo unaharufu ka tundu la choo
7-Sura ka nimenusa harufu mbaya
8-Kikwapa ka fagio la choo
9-Mweusi ka masizi
10-Sija ta..riwa (nina mkono wa sweta)
 
Hivi Mamndenyi si bado unataka mume?
Si uliniambiaga unapenda wenye hizo sifa?
 
Last edited by a moderator:
Kuanzia leo wewe ni handsome wa CC! Hongera sana!
 
Sifazangu ni:-
1-Makengeza
2-Pua ka ngumi
3-Nywele ka mkutano wa nzi
4-Maskio ka bakuli
5-Meno ka reki (gaucho)
6-Mdomo unaharufu ka tundu la choo
7-Sura ka nimenusa harufu mbaya
8-Kikwapa ka fagio la choo
9-Mweusi ka masizi
10-Sija ta..riwa (nina mkono wa sweta)

Kama una hela anakuja Madame B...
 
Last edited by a moderator:
Watu wenye pua kubwa au madole kama tangawizi wana bonge la dushelele kama mandingo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom