Nasubili hiyo namba mkuuNgoja nikupe namba yakeeee
Nahitaji mwenyewe niunganisheUnahitaji wewe mwenyewe au kuna MTU unamtafutiaaa
Mcheki profile pic whatsapp itupie huku tumpe kaz kazTupia na kapicha kako plz
Wewe jamaa kazi unayo na viatu vyako vya kiboshololo au unataka tu kumzingua dadaGraphics and design unaweza?
[emoji3] [emoji3] Nilikua Nataka nimpe mchongo sasa amesha chelewaWewe jamaa kazi unayo na viatu vyako vya kiboshololo au unataka tu kumzingua dada
Pole sana, naomba unijibu na Mimi pm yanguANGALIZO: Humu ndani tunatafuta kazi sio mapenzi/Wapenzi. Ujumbe unahusu kazi wewe unaleta mapenzi kila kitu kinasehemu yakeee. Kama wewe binafsi unashindwa kutoa ushauri au maoni yako basis acha kuandika ujumbe wowote sio lazima utume ujumbe kwa mtu yeyote Mara niPM Mara nitumie picha Mara nimekupenda mambo hayo viiiiiiiiiiipi.....? MNAKERA SAAANA NA KUWENI WASTAARABU