sauti zinadanganya tena akijijua yeye mbaya sauti anaitengeneza mpaka inakusisimua, mimi dizaini zile nakaa chodo kwanza halafu napiga simu akipokea namsaminisha kwanza ndo najitokeza
sidhani kama kuna uhusiano...ila wengine wana sura nzuri na sauti nzuri....nimechat na mdada mmoja kwenye simu kweli sauti ni balaa...nzuri mno
nikafanya mpango nionane nae maana sauti ilinivuta,...kwa kweli hakua anafanana na ile sauti.
je ni kweli hakuna uhusiano wa sura na sauti?
sauti zinadanganya tena akijijua yeye mbaya sauti anaitengeneza mpaka inakusisimua, mimi dizaini zile nakaa chodo kwanza halafu napiga simu akipokea namsaminisha kwanza ndo najitokeza
lizzy cwajui,..msaada plz...afu ishu sio sauti yakike tu, sauti laini,...mororo...nyepesiii...inayovuta!!
...nimechat na mdada mmoja kwenye simu kweli sauti ni balaa...nzuri mno
nikafanya mpango nionane nae maana sauti ilinivuta,...kwa kweli hakua anafanana na ile sauti.
je ni kweli hakuna uhusiano wa sura na sauti?
Kuna yule mdada mtangazaj wa power breakfast ya mawingu ana sauti nzuri lakin mengineyo muumba aliteleza kidogo