Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,605
- 2,743
Mi nafikiri haya maswala ya mahusiano na mapenz hayana mbwembwe, hakuna the best proven way ya kupata mtu sahihi.. it just happens kwa njia yoyote coz Mungu ana njia nyingi ya kuleta watu maishani mwako, maybe this will be the right way kwa sababu bado naamini katika humanity, bado kuna watu wema hata kama sio 100%.
VIGEZO:
UMRI = 18 - 25
ELIMU = haijalishi
KAZI = haijalishi
KABILA = haijalishi
MWONEKANO = shepu sio ishu, ila mzuri wa sura.
MWENENDO = asiwe mtu wa anasa na mvivu coz mimi sio mtu wa anasa na sio mvivu.
DINI = mkristo
Mdada, Kama uko tayari kwa ajili ya mapenzi ya uwazi, upendo wa-dhati na wa-malengo, kujenga familia na maisha pamoja, karibu tuweze kufamiana zaidi labda tunaweza endana.
Sent using Jamii Forums mobile app
VIGEZO:
UMRI = 18 - 25
ELIMU = haijalishi
KAZI = haijalishi
KABILA = haijalishi
MWONEKANO = shepu sio ishu, ila mzuri wa sura.
MWENENDO = asiwe mtu wa anasa na mvivu coz mimi sio mtu wa anasa na sio mvivu.
DINI = mkristo
Mdada, Kama uko tayari kwa ajili ya mapenzi ya uwazi, upendo wa-dhati na wa-malengo, kujenga familia na maisha pamoja, karibu tuweze kufamiana zaidi labda tunaweza endana.
Sent using Jamii Forums mobile app