this is childish now...
jiheshimu basi....na waheshimu watu hapa
weather ni true au umetunga....ni 'upumbavu mtupu kuja na thread hii'
Muongo tu huyu anataka kuwadhalilisha dada zetu humu JF siamini hicho kitu hata kidogoKama kasoma hii thread he he he pichu inambana!!!!!!!!!!
Muongo tu huyu anataka kuwadhalilisha dada zetu humu JF siamini hicho kitu hata kidogo
Mtu yoyote anayeingia humu ni mstaarabu, na muelewa kwani kusurf humu ni gharama licha ya kupoteza muda na kuna vitu vingi vya kuelimisha, sasa mdada wa watu hajakutana na watu mpaka ndani ya JF
Haya mambo yapo Facebook sio JF
this is childish now...
jiheshimu basi....na waheshimu watu hapa
weather ni true au umetunga....ni 'upumbavu mtupu kuja na thread hii'
eeeh? Aache kujishaua; hilo nalo linafaaacha kujishaua