Murano
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,058
- 1,099
Mda wakwenda nyumbani ulkuwa
umefika,mwalimu
akasema:yeyote atakaye jibu
swali langu lolote kwa usahìhi ata
ondoka acye jibu atabaki.,dogo
mmoja akatupa begi nje ya
dirisha.Mwalimu akauliza nan
katupa ilo begi nje?Dogo akajibu
fasta mimi.Akafungua mlango
akaenda kwao.
neno moja kwa dogo
umefika,mwalimu
akasema:yeyote atakaye jibu
swali langu lolote kwa usahìhi ata
ondoka acye jibu atabaki.,dogo
mmoja akatupa begi nje ya
dirisha.Mwalimu akauliza nan
katupa ilo begi nje?Dogo akajibu
fasta mimi.Akafungua mlango
akaenda kwao.
neno moja kwa dogo