MCT: Mwandishi aliyepotea alikuwa anafuatilia taarifa za mauaji ya chini kwa chini yaliyokuwa yanaendelea Kibiti

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Baraza la habari Tanzania (MCT) limesema mwandishi wa Mwananchi aliyetekwa, Azory Gwanda alikuwa anafuatilia taarifa za mauaji ya chini kwa chini yaliyokuwa yanaendelea Kibiti.

Wanadhani mazingira haya ndio yatakuwa yamepelekea usalama wake kuwa hatarini

Baraza hilo limeeleza walipoenda kumhoji kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani aliwaambia tukio hilo la kupotea kwake ni kweli liliripotiwa, ila kwa kuwa mke wake alisema alimuaga anaenda safari na atarudi, huenda ni kweli atarudi japo wanaendelea kufuatilia



Chanzo: Millard Ayo
 
Polisi na jeshi limeua watu kwa kulipa kisasi na kuondoka na miili yao, hivyo watu huko walikua wanafuatilia ndio hayo yametokea kwake
 
Baraza la habari Tanzania (MCT) limesema mwandishi wa Mwananchi aliyetekwa, Azory Gwanda alikuwa anafuatilia taarifa za mauaji ya chini kwa chini yaliyokuwa yanaendelea Kibiti.

Wanadhani mazingira haya ndio yatakuwa yamepelekea usalama wake kuwa hatarini

Baraza hilo limeeleza walipoenda kumhoji kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani aliwaambia tukio hilo la kupotea kwake ni kweli liliripotiwa, ila kwa kuwa mke wake alisema alimuaga anaenda safari na atarudi, huenda ni kweli atarudi japo wanaendelea kufuatilia



Chanzo: Millard Ayo

Nimetoka kusoma post ya mwanasaikolojia kuhusu siasa za Tanzania kwa mtizamo wa kisaikolojia.
Jambo ni wazi,kila mtu anajitahidi kuwa kama baba,kwa ukali,kwa mzaha,kwa shortcut.
Askari Polisi wa kanda maalumu unawezaje kutoa jibu kama hilo?
Dhamira zitatesa sana watu wakati wa mwili ukiachana na roho!!!
 
Ndo outcome ya kufanya kazi kwa hofu ya kutumbuliwa endapo utaenda kinyume na matakwa ya boss
 
Back
Top Bottom