Mchuuzi Wa roadlite tuonane Nina jambo langu

Mchuuzi Wa roadlite tuonane Nina jambo langu

Mambo ya kificho hayo wengine hatujazoea, weka kila kitu hadharani halafu tuachie wenyewe tuamue maadamu umeacha contact hakuna shida
 
Rhodolite....iko haja ya kuanzisha uzi maalum kwa ajili ya madini ya vito,uchimbaji,uwekezaji,vifaa,masoko na changamoto cc mrangi
 
Ebu tuwasiliane kwanza unipe muongozo ili Mambo yasiwe mengi.
Mawe ya wapi yametoka
Je Ndani ya ubora, hayana magonjwa
Maana hakuna mawe complicated kama hayo
Alafu hayo yanaonekana yametoka kwenye mwamba, ya mtoni ya nakuwa mazuri kwa asilimia kubwa
We njoo pm nkupe code.... Na idea 1,2,3

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unajitafutia kesi ya "UHUJUMU UCHUMI au UKWEPAJI KODI" halafu wajanja watembee nayo hayo mawe yako.

Msipende kuweka kwenye mitandao maswala kama hayo ya madini au maliasili, utajikuta unaingia kwenye kuitwa kuhojiwa vibali ambavyo hata hujawahi kusikia.

Tumeshuhudia wengi wakiingia kwenye matatizo kisa picha.
 
Wewe unajitafutia kesi ya "UHUJUMU UCHUMI au UKWEPAJI KODI" halafu wajanja watembee nayo hayo mawe yako.

Msipende kuweka kwenye mitandao maswala kama hayo ya madini, utajikuta unaingia kwenye kuitwa kuhojiwa vibali ambavyo hata hujawahi kusikia.

Tumeshuhudia wengi wakiingia kwenye matatizo kisa picha.
Ni kweli kaka.
 
Back
Top Bottom