Siasa mbaya sana
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 1,814
- 3,107
Ni kweli mkuu watu wamefunga bara bara kuwasubilia wao tuu??Hii story ni ya uongo, Kama ukitaka kuwasaidia wananchi ungesema ni wapi kisa hicho kimetokea, lini na kuwapa watu tahadhari vinginevyo ni kutafuta Kiki tu