Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,902
Duuh!
Hivi watu wanakuwaga wamelogwa ama vipi huwa sielewi hii mambo kwa kweli!
Kiufupi hakuna nabii yeyote dunia hii, wote ni wapigaji wakiongozwa na kinara wao mtabiri wa Nigeria!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani, ni wasela tu wameamua kujificha kwenye kichaka cha dini na vitabu kuntu vya Mwenyezi Mungu wao mara ooo ooooh Mungu Ooh ooooh ooooh, Allah.
Huku nyuma yao wameficha mjegejo ili wale papuchi za waumini wao.