johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,933
- 141,899
- Thread starter
- #21
Unataka kuletewa uchaguzi huru kwenye sahani?Weka uchaguzi huru na haki tupate jibu. Wepesi mnawaua, mnawapoteza, mnawabambikia kesi,.. kumbe aliki yako takataka! Mwepesi unatumia TISS, polisi etc etc
Huo ndio wepesi wenyewe.