johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Mchungaji Lusekelo anasema zamani Wakristo walikatazwa kusalimiana na Watu wasioamini lakini Siku hizi jamii imebadilika na tumekuwa wakristo na waislamu ni Ndugu
Hata maaskofu wanawake hawajaandikwa popote katika Biblia lakini leo wapo amesema mzee wa Upako
Hata maaskofu wanawake hawajaandikwa popote katika Biblia lakini leo wapo amesema mzee wa Upako