Mchungaji Lusekelo ainanga CCM

Mchungaji Lusekelo ainanga CCM

Ninapoona watu wanasimama kwa ajili ya mslahi ya taifa lao naanza kurusisha matumaini kwa nchi hii....
 
mkuu utapasuka msamba kwa hisia ambazo hazina ukweli kibanda aliwahi kuandika akasema kuwa ni wapuuzi peke yao watakaobeza uteuzi wa kinana,
matokeo yake tumeanza kuyaona mnahangaika sana kuuza nyanya mbovu mzee wenu hauziki tena.
Iyela Mbeya ccm walisimamisha mburushi, CDM walimamisha mgombea tz original kilichotokea mnakijua wenyewe. Msomali kinana atakaribishwa kwa maswali magumu. Je kauwa tembo wangapi mpaka sasa?
 
unajua maana ya kunanga au unajiandikia kama uliyetoka usingizini kuwa makini na matumizi ya maneno.
duh, mkuu si uelezee maana ya kunanga basi! Badala ya kumkosoa tu kwa nini wewe usionyeshe matumizi sahihi ya neno? Ukifanya hivyo utawasaidia wengi!
 
Mkuu, hapo kwenye Bold sijakuelewa, kumbe kuna mafuta hua yanatoa majini kwa watu ukipakwa? Sasa hapo connection ya utapeli mbona sijaiona? Anyway, nawasubiri waliomnanga Kakobe kwamba kachanganya dini na siasa, huyu sasa ambae tunajua ni mnazi wa magamba nae katamka neno, sijui hapa pia siasa imechanganywa na dini?

utapeli wake nipale anapotumia jina la Yesu kuhadaa watu wakati anajua kuna nguvu nyingine anaitumia.watu wanajua ananguvu za Yesu kumbe mafuta
 
Lusekero kuinanga ccm!!???? Mhh utata na mpasuki wa wazee wa ccm,, maana huyu Najua ni ccm damu hata mkutano wa wazee wa ccm Dar na kikwete pale diamond alipewa mwaliko maalum sasa Leo anapingana na ccm tena!! Labda kaona mwelekeo wa upepo wa siasa hauvumi vyema asijepoteza waumini kanisani kwake..
 
Zoezi zima limegeuka kuwa witchhunt na opportunity to settle scores. Inanikumbusha NAZI German minus the gas chambers.
 
Back
Top Bottom