Mchungaji Lusekelo ainanga CCM

Mchungaji Lusekelo ainanga CCM

naona sadaka haziwatoshi wameamua kuingia kwenye siasa wapige hela vizur bas sawa ndo ujasiria mali huo via mch msingwa,rwakatale,kakobe
 
Mbona hilo linajulikana wazi kabisa
 
Bado siwezi kumwamini huyu anayejiita mtumishi wa mungu, siku hizi kuna watumishi iwale ambao biblia inasema tuwe macho ,watakuja wahubiri wengi siku za mwisho.
Anaangalia dau tu huyo.
 
Sasa bado wachungaji na mashehe wengine, ila wachumia tumbo hawatajitokeza kamwe. Ponda angeachiwa kidogo, duhh.
 
Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Ubungo Kibangu, Anthony Lusekelo, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinashinikiza kusainiwa kwa Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa mwaka 2013, ili ipatikane katiba itakayokibeba chama hicho. source: mwananchi
wachungaji feki kama huyo na yeye unaweza kumpa tatizo ili akushauri? huyo ni msanii kama kakobe, hawana tofauti na vyuo vya kwenye maredio na Tv
 
Bado siwezi kumwamini huyu anayejiita mtumishi wa mungu, siku hizi kuna watumishi iwale ambao biblia inasema tuwe macho ,watakuja wahubiri wengi siku za mwisho.
Anaangalia dau tu huyo.

fata maneno ucfate matendo
 
mchungaji tapeli heti anafanya miujiza kwa jima la Yesu.huyu huwa anatumia
mafuta fulani hupaka mkononi akikushika usoni ukivuta hewa nakama kweli unamajini yatatoka.huyu nitapeli msiwe wajinga

Usiropoke mdogo wangu,ulishamwona akipaka hayo mafuta? Tukiomba utuletee ushahidi utakua nao?
 
kama kusema ukweli ni kuwa na mapepo na kutumwa nakubaliana na ivyo vyote mkuu..maana huna hoja unachofanya ni provocation
 
Mwaka huu tutasikia mengi, kesho tutarajia sheikh au askofu kusema juu ya hili! Kiujumla ccm watambua katiba ni mali ya watanzania wote na sio chama!
 
Kati ya watu wanaohubiri kwenye makanisa ya kibinafsi ninayempenda, huyu ni wa kwanza kwangu japo siendi kwake.
 
Hivi madai yake ya kutaka awe anakuwa treated kama VIP anaposafiri airport yalifanikiwa? - sijui kwa nini mtumishi wa Mungu atake uVIP airport? ukijiuliza mara tatu hili swali unaweza ukaanza kupata hisia fulani. Hivi kweli lengo lake lilikuwa ni kupewa heshima tu ya uVIP? au kuna jambo. Aina hii ya Wachungaji wanaopenda utukufu wa dunia kama wa Mama Lwakatare inatupasa kujihadhari nao sana!
...Ameongea point lakini inawezekana anatutengenezea mazingira ya kuja kutugeuka baadaye kutakapotokea issue serious zaidi - tumsifu, lakini tuchukue tahadhari pia na aina ya watu vigeugeu.
 
Back
Top Bottom