Yale ma-Benz , ma-Hummer na majitu ya kutisha bado anayo mtumishi?Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Ubungo Kibangu, Anthony Lusekelo, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinashinikiza
kusainiwa kwa Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa mwaka 2013, ili ipatikane katiba itakayokibeba chama hicho.
source: mwananchi
mchungaji wa kanisa la maombezi (grc) la ubungo kibangu, anthony lusekelo, amesema chama cha mapinduzi (ccm), kinashinikiza
kusainiwa kwa muswada wa marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya katiba wa mwaka 2013, ili ipatikane katiba itakayokibeba chama hicho.
Source: Mwananchi
Usiropoke mdogo wangu,ulishamwona akipaka hayo mafuta? Tukiomba utuletee ushahidi utakua nao?
Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Ubungo Kibangu, Anthony Lusekelo, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinashinikiza
kusainiwa kwa Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa mwaka 2013, ili ipatikane katiba itakayokibeba chama hicho.
source: mwananchi
mchungaji tapeli heti anafanya miujiza kwa jima la Yesu.huyu huwa anatumia
mafuta fulani hupaka mkononi akikushika usoni ukivuta hewa nakama kweli unamajini yatatoka.huyu nitapeli msiwe wajinga
mchungaji wa kanisa la maombezi (grc) la ubungo kibangu, anthony lusekelo, amesema chama cha mapinduzi (ccm), kinashinikiza
kusainiwa kwa muswada wa marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya katiba wa mwaka 2013, ili ipatikane katiba itakayokibeba chama hicho.
Source: Mwananchi
kwa kauli hiyo tu , najipanga kuhamia rasmi kwenye kanisa lake .
Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Ubungo Kibangu, Anthony Lusekelo, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinashinikiza
kusainiwa kwa Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa mwaka 2013, ili ipatikane katiba itakayokibeba chama hicho.
source: mwananchi
Mkikua mtaacha, kazi kusingizia watu, Lusekelo anajitambua sio kama Zakaria Kakobe.
kwa kauli hiyo tu , najipanga kuhamia rasmi kwenye kanisa lake .
Hivi mnaelewa maana ya "kunanga" au mnajiandikia tu?