johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,364
- 142,608
Kutokana na recent scientific findings binadamu wa kwanza Ni kweli aliishi Tanzania.Binadamu wa kwanza si Adam huyo mchungaji nani alimpotosha ya kwamba mwanadamu wa kwanza aliishi Tanzania??
Wewe unajua Adam aliishi wapi?Binadamu wa kwanza si Adam huyo mchungaji nani alimpotosha ya kwamba mwanadamu wa kwanza aliishi Tanzania??
Sema nyani wa kwanza wanaodai wapumbavu wachache kama Kina Darwin na Louis ndiyo aliishi Tanzania ila sio Adam.Kutokana na recent scientific findings binadamu wa kwanza Ni kweli aliishi Tanzania.
Nitamsikiliza tena jioni halafu nitaviweka bwashee!Unaweza kuandika vifungu vya Biblia kuhusu hilo kwa niaba yake?
Binadamu wa kwanza si Adam huyo mchungaji nani alimpotosha ya kwamba mwanadamu wa kwanza aliishi Tanzania??
Sayansi imekazia maandiko ya Biblia!OK kwa hiyo mchungaji anaamini sayansi au biblia asituchanganyie mada hapa, mara maandiko yanasema mara sayansi tushike lipi?
Umeambiwa " Binadamu " wa kwanza uwe unaelewa bwashee!Nawe nani kakupotosha kwamba binadamu (mtu) wa kwanza kuwepo duniani ni Adamu???
hamnaga upotoshaji kwenye ukweliNawe nani kakupotosha kwamba binadamu (mtu) wa kwanza kuwepo duniani ni Adamu???
Usiwe kigeu geu.Mchungaji wa KKKT Kijitonyama Dr Kimaro amesema kwa mujibu wa maandiko ya Biblia Mungu alishaitangazia uponyaji wa kwanza Afrika yanapotokea maradhi ya kiulimwengu kama Corona...
Kwa hiyo mchungaji alikuwa anafundisha Scientific findings badala biblia ?Kutokana na recent scientific findings binadamu wa kwanza Ni kweli aliishi Tanzania.