Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Gwajima ni muongo!! Hakunaga cheti cha division O!! Na muongo baba yake ni lucifa( according to the Bible)!! Kama siyo muongo aweke vyeti hapa tuvione!!

mbona mtuhumiwa ajaweka na husemi lolote? Ishu ya ni mtumishi wa mungu au sie ni swala lake na mungu wake
 



Kufanya kazi kwa vyeti vya kughushi hiyo nayo siyo haki vile vile
 

Angekuwa ameshakamatwa, mbona yupo mtaani? Na juzi alikuwepo kanisani kwake? Au ww unajua sheria zaidi ya watu wote
 
Ukitafuta watu maarufu zaid tz kwa sasa bila shaka Rc makonda kawapiku watu wenye majina makubwa tz mfano lowasa,nape,kinana, ,kikwete,na wengineo makonda kawa maarufu si mjin tu hats vijijin jina makonda linatajwa kila kona,
Kitu pekee ambacho had sasa sijajua na huweka maswali mengi ndani yangu ni kuwa vmaarufu wa makonda umetokana na
1.,utendaji wake wa kaz?
2. Kashfa ya vyet?
Ikiwa in utendaji wa wpo weng wanafanya kaz
Kubwa na kwa bidii mfano wazr mkuu lakin hawajawa maarufu hivyo, ikiwa in kashfa ya vyeti wapo waliokapata kashfa kama hzo lakn hawkupat umaarf huo
He vnafikir in kitu gan kimemfanya makonda kuwa maarufu hivyo? naomba msaada wako.
 

Kama ni umaarufu wa Upumbavu na Ubashite hata Mimi naunga mkono uzi na hoja yako Mkuu.
 
Miaka ya nyuma NECTA ilikuwa inatoa vyeti hata kwa mwenye Div 0. imefutwa miaka ya juzi kati hapa. lakini kumiliki cheti cha mtu kama Gwajima anavyodai kuwa na original ya Makonda ni uhaini. Akamatwe kwa kuwa na document nyeti za mtu bila rdhaa yake. tusilee ujinga. tabia hii haipaswi kufumbiwa macho hata kidogo. kupata 0 au kutumia cheti cha mtu hilo litakuwa ni kosa la makonda na mwenye mamlaka ya kumchukulia hatua ni mwajiri wake kupitia vyombo vya kisheria. lakini gwajiama lazima akamatwe kwa kosa hili la jinai. polisi mrudi kazini.
 
Wakimkamata atawa eleza tu udhani kutakua na ugumu wowote? Hakuna shida hapo@ shida ni Bashite kuthibitisha kuwa hakufoji vyeti hapo ndipo kuna shida kubwa!!!
 
There is no doubt- Ni kijana sana, Ni mchapakazi sana. Ni jasiri sana. Ni mpambanaji sana. Ni mtu aliyetoka from Zero to Hero- It is not a joke! Mengine mtaongeza.
 
There is no doubt- Ni kijana sana, Ni mchapakazi sana. Ni jasiri sana. Ni mpambanaji sana. Ni mtu aliyetoka from Zero to Hero- It is not a joke! Mengine mtaongeza.
Bashite
 



Mwalimu wako anayekufundisha somo la kusoma namba anapomaliza kipindi chake,jitahidi upitie kwa Bi.Fox akupatie "tuition" ya Lugha,bandiko lako lina utapiamlo wa alphabet kiasi cha kulifanya lisieleweke vema.
 
Siku hizi hata waliofanikiwa kwa wizi wanaitwa mashujaa!hahahaaaa
Nikupe tu pole na kukuomba badili biashara kieleweke. Utawala huu mwingine haujawahi kutokea!
 
Ukweli uko palepale kwamba huu ni ufa umejitokeza na wasipo ziba ufa basi wajiandae kujenga ukuta.

Hebu tafakari kidogo tu kuona hili suala la vyeti lilivyo destructive kwa taswira ya serikali. Juzi kati hapa kulitokea newz ya hostel mpya za chuo kikuu ud ruksa kutumika. Hostel ambazo zimejengwa kwa kasi iliyo vunja rekodi. Kwa bei ambayo ni chini ya billioni takribani 60 kulinganisha na makadirio ya awali. Hii ni sifa kubwa mno kwa serikali ya awamu ya tano.

Sasa linganisha uzito uliopewa kwa habari ya hizi hostel na hii ya vyeti feki.

Na washawasha!



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…