Mchungaji Daniel Mgogo apata ajali

Mchungaji Daniel Mgogo apata ajali

Kichochoro

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2017
Posts
1,135
Reaction score
1,168
Mchungaji Daniel Mgogo mchana wa leo amepata ajali maeneo ya Korogwe Mkoani Tanga wakati akielekea Dar es Saam akitokea Arusha akiwa Peke yake lakini Mungu ni mwema Hajaumia Wala hajapata majeraha yeyote tunamshukuru Mungu licha ya Gari aliyokuwa akiendesha kuharibika vibaya

Ashukuriwe Mungu atendaye Makuu
1622705729933.png
 
Malipizi na visasi vya yule mkuu wa dunia hii vimeshindwa.Ktk ulimwengu wa kiroho,ameacha impact huko alikotoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom