Kwa kuwa na yeye mwenyewe ana mambo ya ajabu ajabu............Watu wanaomuunga mkono Magu yanawakuta mambo ya ajabu ajabu why!
Mm simshangai muhubiri, nawashangaa hao wanaokwenda kuvunwa kila siku kumbe mwenzao anapeleka kwenye vyama vingi ( wanawake) na viroba
ila pale mwisho kamalizia kwa kusema, mimi sihukumu ila namuachia mungu mwenyewe ahukumu.
kwa iyo anafuta kauli yake ya kuhukumu, ni style fulani ya uzungumzaji
Kamtaja nani hapo?Yule alisema ameota tu, hata dhamana imezuiliwa. Huyu anajitapa atawaombea watu kadhaa wafe naona atanyongwa kabisaaa
Hahaha, naomba niulize swali la kizushi:
Na Mzee wa upako anakuwa inspired na Holy Ghost?
Au waumini wake pia wana Holy Ghost?
Huyu Mzee naona naye ni mpiga dili tu.