Mchungaji Anthony Lusekelo awapa onyo CHADEMA

Mchungaji Anthony Lusekelo awapa onyo CHADEMA

MCHUNGAJI ANTONY LUSEKELO MAALUFU KAMA MZEE WA UPAKO AMEWATAKA WAPINZANI WASIVURUGE AMANI YA NCHI YETU.

Mzee wa upako aliyasema hayo katika Ibada takatifu tarehe 18september 2016 na baadae, mahubiri hayo kurushwa hewani na channel ten tarehe 22 September 2016.

Mchungaji Lusekelo aliwambia wahumini wake kuwa kwasasa maisha yanaenda vizuri na Rais Magufuli anafanya tulichokuwa tunataka kwa miaka mingi kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma.

Kuhusu swala la pesa kukosekana mtaani Mchungaji Lusekelo alisema nina nukuu "Pesa zipo mtaani kama kawaida lakini kwa watu wanaofanya kazi na sio wavivu, na zamani pesa zilizagaa kwa sababu ya ubadhilifu wa mali za umma" pia kasema yeyote anayelalamika ni yule aliyekuwa anapata pesa kwa njia zisizo halali.

Katika hatua nyingine Mchungaji Lusekelo alimtaka Dr.Magufuli asisumbuke kubadili pesa za nchi kwani fedha zipo mtaani na maisha ni mazuri tu hakuna ugumu wowote.

Pia aliwataka waumini wake wasijaribu kushiriki katika maandamano yeyote Yale na wala wasidanganyike kuchezea amani ya nchi kwa watu wenye uroho wa madaraka na kuwadanganya kuwa Magufuli kabana demokrasia wakati sio sahihi kabisa.

Mchungaji Lusekelo, alitoa mifano miwili ili kuwaelimisha wahumini wake, wa kwanza ni nchi ya Gaboni mzee wa upako aliwambia nchi hii imehalibiwa na watu wasiozidi elfu 3,000 kwa kuingia barabarani na kuanzisha maandamano na sasa nchi ile imevulugika.

Mfano mwingine katolea nchi ya Brazili, kuwa Taifa hili limevulugwa na watu wasiozidi elfu 10,000 baada ya kuingia barabarani na kuandamana na kusababisha machafuko na nchi kutotawalika.

Mzee wa upako alirahani vikali opalesheni Ukuta iliyokuwa imetangazwa kufanyika tarehe moja September mwaka huu kwakusema, ilisababisha Taifa kukosa watalii kuja. kuangalia kupatwa kwa jua kule Mbeya kwakuhofia machafuko nchini nakuwataka wapinzani wasirudie kitendo hiki.

Mwisho Mzee wa upako ametangaza kutumbua majipu mpaka kanisani na ikiwezekana kukata mguu wenye jipu ili jipu litoke na mtu aweze kuishi, baada ya hapo alimalizia kwakuimba wimbo wa Tanzania.
Hongera sana mchungaji Lusekelo hakika umenena vyema.
Imeandaliwa na wenu,
MWITA NYARUKURURU
Dini na Siasa; Aliahidiwa barabara au wale wanojengewa makao makuu unategemea nini?
 
Wachungaji wa shilingi wa kidigitali

Yeye anasema maisha yametulia sababu anajua ana uhakika wa kula kwa wale anaowadanganya kila siku
Kwa hayo maneno aliyoyasema tayari amekusanya mamilioni shilingi kama sadaka kwa hao kondoo waliopotea kwa kukosa maarifa akiwemo huyu mleta mada.

Wewe unaamni kabisa ulikuwa unapata pesa kwa njia ambazo sio za halali hapo mwanzo? Wkati watu walivuja jasho na mpaka leo kazi zao zile zile za kuvuja jasho ila hela ndio hakuna kwa hao waliokuwa wakiwatuma.

Jamaa anajipendekeza anaogopa yasije kumkuta yaliyomkuta Mzee Gwajima.

Mchungaji ulitakiwa uhubiri kuhusu amani na wala sio kuunga au kuonesha upenzi wako katika chama fulani.
 
Watu wapuuzi wajinga kabisa. Eti anakuobea utajirike wakati yeye anakusanya elfu moja ya masikini. Si ajiombee atajirike. Mijitu inashindwa kujiuliza kama ana nguvu za hivyo mbona anakusanya hela yetu sisi masikini.
Wakati nikiwa mtoto nilikuwa nawashangaa watu wazima wasio na hela. Nikapenda nikiwa mkubwa niwe mwana mazingaombwe ili niwe natengeneza hela maana nilikuwa naona wanaokota magazeti halafu wanatengeneza hela.
 
Unafikiri Lusekelo atasema nini zaidi ya hayo aliyosema?anachokijua ni kuhubiri na kupokea fedha kutoka kwa waumini wake bila kujali kuwa hizo fedha muumini wake kazipataje,Kama kaiba kwake nisawa tu,Kama kahongwa kwake ni sawa Ili mradi fedha zimeingia mfukoni huku akimwaga Haleluya za kufa mtu utafikiri ndiyo kaiona pepo kumbe bado tuko naye kwenye dunia hihi ya dhambi.
 
MCHUNGAJI ANTONY LUSEKELO MAALUFU KAMA MZEE WA UPAKO AMEWATAKA WAPINZANI WASIVURUGE AMANI YA NCHI YETU.

Mzee wa upako aliyasema hayo katika Ibada takatifu tarehe 18september 2016 na baadae, mahubiri hayo kurushwa hewani na channel ten tarehe 22 September 2016.

Mchungaji Lusekelo aliwambia wahumini wake kuwa kwasasa maisha yanaenda vizuri na Rais Magufuli anafanya tulichokuwa tunataka kwa miaka mingi kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma.

Kuhusu swala la pesa kukosekana mtaani Mchungaji Lusekelo alisema nina nukuu "Pesa zipo mtaani kama kawaida lakini kwa watu wanaofanya kazi na sio wavivu, na zamani pesa zilizagaa kwa sababu ya ubadhilifu wa mali za umma" pia kasema yeyote anayelalamika ni yule aliyekuwa anapata pesa kwa njia zisizo halali.

Katika hatua nyingine Mchungaji Lusekelo alimtaka Dr.Magufuli asisumbuke kubadili pesa za nchi kwani fedha zipo mtaani na maisha ni mazuri tu hakuna ugumu wowote.

Pia aliwataka waumini wake wasijaribu kushiriki katika maandamano yeyote Yale na wala wasidanganyike kuchezea amani ya nchi kwa watu wenye uroho wa madaraka na kuwadanganya kuwa Magufuli kabana demokrasia wakati sio sahihi kabisa.

Mchungaji Lusekelo, alitoa mifano miwili ili kuwaelimisha wahumini wake, wa kwanza ni nchi ya Gaboni mzee wa upako aliwambia nchi hii imehalibiwa na watu wasiozidi elfu 3,000 kwa kuingia barabarani na kuanzisha maandamano na sasa nchi ile imevulugika.

Mfano mwingine katolea nchi ya Brazili, kuwa Taifa hili limevulugwa na watu wasiozidi elfu 10,000 baada ya kuingia barabarani na kuandamana na kusababisha machafuko na nchi kutotawalika.

Mzee wa upako alirahani vikali opalesheni Ukuta iliyokuwa imetangazwa kufanyika tarehe moja September mwaka huu kwakusema, ilisababisha Taifa kukosa watalii kuja. kuangalia kupatwa kwa jua kule Mbeya kwakuhofia machafuko nchini nakuwataka wapinzani wasirudie kitendo hiki.

Mwisho Mzee wa upako ametangaza kutumbua majipu mpaka kanisani na ikiwezekana kukata mguu wenye jipu ili jipu litoke na mtu aweze kuishi, baada ya hapo alimalizia kwakuimba wimbo wa Tanzania.
Hongera sana mchungaji Lusekelo hakika umenena vyema.
Imeandaliwa na wenu,
MWITA NYARUKURURU
Siasa tupu !! Haki na sheria zinavyotenguliwa haoni ?
 
MCHUNGAJI ANTONY LUSEKELO MAALUFU KAMA MZEE WA UPAKO AMEWATAKA WAPINZANI WASIVURUGE AMANI YA NCHI YETU.

Mzee wa upako aliyasema hayo katika Ibada takatifu tarehe 18september 2016 na baadae, mahubiri hayo kurushwa hewani na channel ten tarehe 22 September 2016.

Mchungaji Lusekelo aliwambia wahumini wake kuwa kwasasa maisha yanaenda vizuri na Rais Magufuli anafanya tulichokuwa tunataka kwa miaka mingi kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma.

Kuhusu swala la pesa kukosekana mtaani Mchungaji Lusekelo alisema nina nukuu "Pesa zipo mtaani kama kawaida lakini kwa watu wanaofanya kazi na sio wavivu, na zamani pesa zilizagaa kwa sababu ya ubadhilifu wa mali za umma" pia kasema yeyote anayelalamika ni yule aliyekuwa anapata pesa kwa njia zisizo halali.

Katika hatua nyingine Mchungaji Lusekelo alimtaka Dr.Magufuli asisumbuke kubadili pesa za nchi kwani fedha zipo mtaani na maisha ni mazuri tu hakuna ugumu wowote.

Pia aliwataka waumini wake wasijaribu kushiriki katika maandamano yeyote Yale na wala wasidanganyike kuchezea amani ya nchi kwa watu wenye uroho wa madaraka na kuwadanganya kuwa Magufuli kabana demokrasia wakati sio sahihi kabisa.

Mchungaji Lusekelo, alitoa mifano miwili ili kuwaelimisha wahumini wake, wa kwanza ni nchi ya Gaboni mzee wa upako aliwambia nchi hii imehalibiwa na watu wasiozidi elfu 3,000 kwa kuingia barabarani na kuanzisha maandamano na sasa nchi ile imevulugika.

Mfano mwingine katolea nchi ya Brazili, kuwa Taifa hili limevulugwa na watu wasiozidi elfu 10,000 baada ya kuingia barabarani na kuandamana na kusababisha machafuko na nchi kutotawalika.

Mzee wa upako alirahani vikali opalesheni Ukuta iliyokuwa imetangazwa kufanyika tarehe moja September mwaka huu kwakusema, ilisababisha Taifa kukosa watalii kuja. kuangalia kupatwa kwa jua kule Mbeya kwakuhofia machafuko nchini nakuwataka wapinzani wasirudie kitendo hiki.

Mwisho Mzee wa upako ametangaza kutumbua majipu mpaka kanisani na ikiwezekana kukata mguu wenye jipu ili jipu litoke na mtu aweze kuishi, baada ya hapo alimalizia kwakuimba wimbo wa Tanzania.
Hongera sana mchungaji Lusekelo hakika umenena vyema.
Imeandaliwa na wenu,
MWITA NYARUKURURU
Huyu naye ni mtu wa kuleta mahubiri yake hapa JF kweli. Amesomea wapi Theology ili awe mchungaji. Psychology kaisoma wapi ili aweze kuchagua maneno ya kuzungumza kwa wakati unaofaa. Mimi nikimkuta kichaa anampiga adui yangu sitafurahi maana naelewa nami naweza kupigwa tu.
 
Kwanza mchungaji gan anae jichubuwa.....alipewa hongo ya barabara kesha sahau kila kitu
kujichubua lazima Mungu hapendi watu wachafu mchungaji yuko sawa.ananyoa punk anapokea sadaka mkononi, zile ni chakula chake,huyo ni transforma,kimbilio la wenyematatizo hali iliyopo ni njema kwake,manabii wa dizaini hiyo leo wameongezeka sana kwani kuna mavuno yasiyo na kodi.
 
MCHUNGAJI ANTONY LUSEKELO MAALUFU KAMA MZEE WA UPAKO AMEWATAKA WAPINZANI WASIVURUGE AMANI YA NCHI YETU.

Mzee wa upako aliyasema hayo katika Ibada takatifu tarehe 18september 2016 na baadae, mahubiri hayo kurushwa hewani na channel ten tarehe 22 September 2016.

Mchungaji Lusekelo aliwambia wahumini wake kuwa kwasasa maisha yanaenda vizuri na Rais Magufuli anafanya tulichokuwa tunataka kwa miaka mingi kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma.

Kuhusu swala la pesa kukosekana mtaani Mchungaji Lusekelo alisema nina nukuu "Pesa zipo mtaani kama kawaida lakini kwa watu wanaofanya kazi na sio wavivu, na zamani pesa zilizagaa kwa sababu ya ubadhilifu wa mali za umma" pia kasema yeyote anayelalamika ni yule aliyekuwa anapata pesa kwa njia zisizo halali.

Katika hatua nyingine Mchungaji Lusekelo alimtaka Dr.Magufuli asisumbuke kubadili pesa za nchi kwani fedha zipo mtaani na maisha ni mazuri tu hakuna ugumu wowote.

Pia aliwataka waumini wake wasijaribu kushiriki katika maandamano yeyote Yale na wala wasidanganyike kuchezea amani ya nchi kwa watu wenye uroho wa madaraka na kuwadanganya kuwa Magufuli kabana demokrasia wakati sio sahihi kabisa.

Mchungaji Lusekelo, alitoa mifano miwili ili kuwaelimisha wahumini wake, wa kwanza ni nchi ya Gaboni mzee wa upako aliwambia nchi hii imehalibiwa na watu wasiozidi elfu 3,000 kwa kuingia barabarani na kuanzisha maandamano na sasa nchi ile imevulugika.

Mfano mwingine katolea nchi ya Brazili, kuwa Taifa hili limevulugwa na watu wasiozidi elfu 10,000 baada ya kuingia barabarani na kuandamana na kusababisha machafuko na nchi kutotawalika.

Mzee wa upako alirahani vikali opalesheni Ukuta iliyokuwa imetangazwa kufanyika tarehe moja September mwaka huu kwakusema, ilisababisha Taifa kukosa watalii kuja. kuangalia kupatwa kwa jua kule Mbeya kwakuhofia machafuko nchini nakuwataka wapinzani wasirudie kitendo hiki.

Mwisho Mzee wa upako ametangaza kutumbua majipu mpaka kanisani na ikiwezekana kukata mguu wenye jipu ili jipu litoke na mtu aweze kuishi, baada ya hapo alimalizia kwakuimba wimbo wa Tanzania.
Hongera sana mchungaji Lusekelo hakika umenena vyema.
Imeandaliwa na wenu,
MWITA NYARUKURURU
Magufuli kahudhuria ibada yake moja tu,tayari kesha muua mtu,ameshindwa hata kujitambua kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu asiyetakiwa kuonyesha hisia za kisiasa kwa upande mmoja kwa kuwa yeye ni wa watu wote ana chotakiwa ni kuwaombea watu wote bila ya kujali itikadi zao za kisiasa.

Ana sema kuwa fedha mitaani zipo na hazipo kwa watu wanaoshinda kijiweni wasiotaka kufanya kazi,wakati wanaolalamika kukosekana kwa pesa ni wananchi wengi wawe wafanya kazi za ajira,wafanyakazi wa kujitegemea,wakulima na wafanya biashara kilo Chao ni kimoja tu cha kukosekana kwa pesa.

Mfanya biashara ana weza akashinda kutwa nzima akapata Wateja 2 tu pengine asipate mteja hata mmoja kwa siku,wakulima wanajituma Sana kulima lakini mwisho wake wanaambulia hasara kwa kukosa wanunuzi wa kununua mazao yao,Kama hela zipo mitaani ni kwa nini wale wafanya biashara mbalimbali washinde kwenye biashara zao bila kupata Wateja?ni kwa nini wakulima watumie gharama kubwa kuandaa mashamba na kutumia pembejeo za gharama kubwa lakini wanaishia kupata hasara kwa kukosa masoko?.

Kama wanaolalamika kukosekana ni wale waliokuwa wanajipatia fedha kwa njia zisizo za halali na wameanza kulalamika baada ya mianya yao ys kujipatia fedha isivyo halali kuzibwa,kilio cha ukosefu wa fedha hata serekalini kipo,Ina maana kuwa serekali nayo ilikuwa inajipatia fedha kwa njia ambazo siyo za halali na Ina maana kuwa serekalni nako fedha zimeadimika kwa kuwa njia za kujipatia fedha zisizo halali zimezibwa?.
 
Kama tunazungumzia unafiki ninyi mnaongoza mkuu.
CCM hatuna unafiki. Wewe fikiria jamaa zako walivyo waongo waongo halafu wewe unakubali tu. Hivi fisadi yule mkuu hajambo?
 
Hawezi kuona ugumu wa maisha kwa sababu yeye anategemea fedha za kupewa na waumini wake.
 
Back
Top Bottom