Mchungaji alonga

Hawa wachungaji na ma padiri ndio walioanzisha chokochoko mpaka yakatokea mauaji ya kimbari huko Rwanda, sasa wanaleta chokochoko hapa Tanzania.
 
na ndio watu kama hawa walishirikiana na Wauwaji wa kiserbia na katili mulosovik kuua halaiki ya watu huko Srebzenika na Bosnia Herzogovina miaka ya 90!!!!
 
Kuna mtu kajamba humu ndani. Anahaha kila sehemu na kujamba, fuuuuu.........
 
Hawa wachungaji na ma padiri ndio walioanzisha chokochoko mpaka yakatokea mauaji ya kimbari huko Rwanda, sasa wanaleta chokochoko hapa Tanzania.

Na Somalia viongozi wa dini hasa mashekh wamefanya nchi hiyo isitawalike kwa zaidi ya miaka 20 sasa.
 

SIONI UPAKO machoni mwa huyu MCHUNGAJI... sijajua anachunga nini lakini nina hakika hachungi kondoo wa bwana. labda anamchunga yule THE ''BEAST'' aliyetabiriwa kwenye maandiko matakatifu.
after all, hakuna mwenye mamlaka ya kuchukua uhai wa muumini wa kweli isipokuwa ni MUNGU pekee. ukiona mtu anaogopa roho yake kuchukuliwa na mwanadamu!!! basi hana imani kwa mungu wake... vipi wanapenda kwenda mbinguni halafu wanaogopa kifo???? YESU alikubali yote NA AKAWA TAYARI ILI KULITIMIZA NENO. na mwisho akawaombea mungu awasamehe kwani walikuwa hawajui walitendalo.
hawa wanafiki walambao miguu wanasiasa wanataka kuiingiza hii nchi katika umwagaji damu.... ingekuwa tuna RAISI DICTATOR,,, Watu wa aina hii ni kuwapotezaaaaaaaaaaaaaaaaa. na yeyote anayemuuunga mkono pumbavu kama huyu naye atakuwa mpumbavu
 
Last edited by a moderator:
WaJF, kabla ya kuanza kumurushia makombora Pastor Munishi, kwanza tujue ni kwanini anaipinga CCM kiasi hicho? Kwani nini alikimbilia Kenya na kuomba uraia wa Kenya? What is the motive behind yeye kuwindwa na CCM? alifanya nini kibaya kwa CCM? kwani nini CCM wamtumie yeye Majasusi? kuna maswali mengi sana ya kujiuliza kabla ya kumuhukumu.

Mimi binafsi nakubaliana na mengi anayosema Pastor Munishi, ni kweli CCM wamezeeka, majambazi, wauaji, waporaji wa haki, kila neno baya na jambo baya ndani ya nchi hii lina mkono wa CCM, bila CCM ni kweli Tanzania tungekuwa mbali sana kimaendeleo, na wala siyo hapa tulipo.
 
Back
Top Bottom