na ndio watu kama hawa walishirikiana na Wauwaji wa kiserbia na katili mulosovik kuua halaiki ya watu huko Srebzenika na Bosnia Herzogovina miaka ya 90!!!!
SIONI UPAKO machoni mwa huyu MCHUNGAJI... sijajua anachunga nini lakini nina hakika hachungi kondoo wa bwana. labda anamchunga yule THE ''BEAST'' aliyetabiriwa kwenye maandiko matakatifu.
after all, hakuna mwenye mamlaka ya kuchukua uhai wa muumini wa kweli isipokuwa ni MUNGU pekee. ukiona mtu anaogopa roho yake kuchukuliwa na mwanadamu!!! basi hana imani kwa mungu wake... vipi wanapenda kwenda mbinguni halafu wanaogopa kifo???? YESU alikubali yote NA AKAWA TAYARI ILI KULITIMIZA NENO. na mwisho akawaombea mungu awasamehe kwani walikuwa hawajui walitendalo.
hawa wanafiki walambao miguu wanasiasa wanataka kuiingiza hii nchi katika umwagaji damu.... ingekuwa tuna RAISI DICTATOR,,, Watu wa aina hii ni kuwapotezaaaaaaaaaaaaaaaaa. na yeyote anayemuuunga mkono pumbavu kama huyu naye atakuwa mpumbavu
WaJF, kabla ya kuanza kumurushia makombora Pastor Munishi, kwanza tujue ni kwanini anaipinga CCM kiasi hicho? Kwani nini alikimbilia Kenya na kuomba uraia wa Kenya? What is the motive behind yeye kuwindwa na CCM? alifanya nini kibaya kwa CCM? kwani nini CCM wamtumie yeye Majasusi? kuna maswali mengi sana ya kujiuliza kabla ya kumuhukumu.
Mimi binafsi nakubaliana na mengi anayosema Pastor Munishi, ni kweli CCM wamezeeka, majambazi, wauaji, waporaji wa haki, kila neno baya na jambo baya ndani ya nchi hii lina mkono wa CCM, bila CCM ni kweli Tanzania tungekuwa mbali sana kimaendeleo, na wala siyo hapa tulipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.