ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Kwa wale mnaojitutumia kuwa ni "wana wa mungu milio safi " lakini pia mnapenda kula uroda nje ya ndoa zenu na wana kondoo yawapaswa kuepuka jambo hilo kwani iajapo siku Mungu atasema nanyi kwa matendo ..Bofya hapo chini kushuhudis kisago kikali na matembezi ya "mshikamano ya aibu" kwa Mchungaji na Mke wa Afande huko Kenya waliofumaniwa wakivunja amri ya sita:
Jungle Justice: Kenyan Pastor caught fornicating with a Policemans wife
Ni kwa tahadhari tu ya kukumbushana. Nimeshindwa kuleta hizo picha za aibu hapa jukwanai labda kama mods wanaweza kufanya makeke ya kiatalaam zikae sawa kwa hadhi ya kuonywa hapa.
Jungle Justice: Kenyan Pastor caught fornicating with a Policemans wife
Ni kwa tahadhari tu ya kukumbushana. Nimeshindwa kuleta hizo picha za aibu hapa jukwanai labda kama mods wanaweza kufanya makeke ya kiatalaam zikae sawa kwa hadhi ya kuonywa hapa.