CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 943
Yelewiiii,ina maana wewe sio bikra eeeh!Sitaki kufufuka katika mwili huu...... kama huyo mchungaji alivyofufuka. Nataka kufufuka katika mwili mpya usio na uharibifu.
Yelewiiii,ina maana wewe sio bikra eeeh!Sitaki kufufuka katika mwili huu...... kama huyo mchungaji alivyofufuka. Nataka kufufuka katika mwili mpya usio na uharibifu.
Hahahhaha wakristo bana.. making fun of their own religion..
Napita
mkuu watake ladhi wa Tanzania
we guna mi nimeishia kucheka hehehemmmm!!!!!
Ni mgonjwa ona hata mashavu yamemvimba atakuwa alizimia tu.
Hawachelewi kukwambia hauna imani
Kwa jina lake lilivyo lazima ni Mnigeria huyu.Kweli kabisa mkuu, huyu alishakufa kilichoamka na mzimu wake na nafikiri mke wake nae anatake kutengeneza zake na huo mzimu. Na sitoshangaa sana kama ni GHANA au NIGERIA.
Yelewiiii,ina maana wewe sio bikra eeeh!