Waumini wa kanisa la Anglikana la Mtakatifu Yohana, Dayosisi ya Victoria Nyanza, Parishi ya Bomani wilayani Sengerema, mkoai Mwanza wamemshushia kipigo Mchungaji wa kanisa hilo, Joseph Kwangu wakati wa ibada ya jumapili ikiendelea, baada ya waumini hao kumtuhumu mchungaji kufanya mambo yanayoendana na ishara wanazozitumia Freemason. Waumini hao waliamua kubandika matangazo ndani ya kanisa, vyooni, milango ya kuingilia kanisani kumtaka mchungaji huyo asiingie ndani ya kanisa hilo. [ 135 more words ]
Mchungaji aambulia kichapo kanisani - Dar24
Mchungaji aambulia kichapo kanisani
Waumini wa kanisa la Anglikana la Mtakatifu Yohana, Dayosisi ya Victoria Nyanza, Parishi ya Bomani wilayani Sengerema, mkoai Mwanza wamemshushia kipigo Mchungaji wa kanisa hilo, Joseph Kwangu wakati wa ibada ya jumapili ikiendelea,…
dar24.com
Mchungaji aambulia kichapo kanisani - Dar24

Mchungaji aambulia kichapo kanisani
Waumini wa kanisa la Anglikana la Mtakatifu Yohana, Dayosisi ya Victoria Nyanza, Parishi ya Bomani wilayani Sengerema, mkoai Mwanza wamemshushia kipigo Mchungaji wa kanisa hilo, Joseph Kwangu wakati wa ibada ya jumapili ikiendelea,…
dar24.com