binti kigoli
Member
- Sep 12, 2015
- 22
- 12
Mchumba wangu nikikojoz nimemvumilia kwa Mda mrefu Lakin sasa yamenishinda nasijui nifanyeje.kiukweli nimechoka naomba ushauri.
Mnunulie nepi..
Afu asinywe maji usiku.
Na akojoe kabla ya kulala.
Mmmh
Kwani watu wanakojoaga nini???
Achana na habari za kojo..Unalinda wapi ww nikutembelee??
Umejuwaje?
Hahahahah
Nalinda hapa hapa mjini
Ndio muda wa kujidai huu
Teh teh
Teh teh...Kazi itakushinda ww..Huu muda wa kujituma Halafu we uko huku.. kesho mkifukizwa kazi mnakuja kutujazia server huku kwa kuomba ushauri lol
Kazi saa hizi? Lindo tayari bana...labda kupiga round ya alfajiri.
Yaani hapa ndio heka heka nyumbani zimeanza nazunguka kama kishada kuweka mambo sawa.....mpaka nane na nusu hivi ndio naenda kulala